mmi npo shirika la RELI hali ya shirika ilivyokuwa tunaijua ss mwakyembe ni kajitaidi sana.kuhusu behewa serikali ni tatizo kuwapa udhabuni wa kindugu wa 10 percent na ndio ulio tu cost trl.kitendo cha kuwapa udhabuni wahindi kwenda india kununua behewa hzo ndio chanzo kuleta behewa used.
Wakujiuzulu alikuwa ni Werema tu na si prof Muhongo,prof ntabaijuka na maswi.prof muhongo na ntabajuka itakuwa ngumu kujiuzulu ile ecrow hta bos wao alichukua na ndio maan watuhumiwa walikuwa na majibu ya nyodo (maswi,muhongo na maswi).Hivyo watanzania msitegemee rais kuwajibisha viongozi...
pamoja na matatizo yote hya kwa wananchi.ufisadi kibao bado unatoka nyumban kwako unaenda kituoni kuipigia kura ccm jmn kweli kweli mtanzania mwenzangu hvi kwl una jicho la tatu.viongoz wanachota pesa zetu bila woga wwote. aiseeee nilijua ccm itapata labda kura 0 kwa 400 kwa ukawa lkn nashangaaa...
North Korea has made a new accusation against the United States, stating that America is spreading the Ebola virus and is bent on the development of bio-weapons as a means of achieving world domination.
A Korean Central News Agency (KCNA) report claims that an aide to former President Reagan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.