Nimeshangaa kuona eti CCM bado inapata kura

BIL300

Member
Nov 20, 2014
24
7
pamoja na matatizo yote hya kwa wananchi.ufisadi kibao bado unatoka nyumban kwako unaenda kituoni kuipigia kura ccm jmn kweli kweli mtanzania mwenzangu hvi kwl una jicho la tatu.viongoz wanachota pesa zetu bila woga wwote. aiseeee nilijua ccm itapata labda kura 0 kwa 400 kwa ukawa lkn nashangaaa kuona watu wamewapigia mafisadi cna dawa hosptal eeeeee bado unaipenda ccm jmn? hv una akili timamu kweli ww.ebu acha roho ya umaskini bhna aaaaaaaaa
 
pamoja na matatizo yote hya kwa wananchi.ufisadi kibao bado unatoka nyumban kwako unaenda kituoni kuipigia kura ccm jmn kweli kweli mtanzania mwenzangu hvi kwl una jicho la tatu.viongoz wanachota pesa zetu bila woga wwote. aiseeee nilijua ccm itapata labda kura 0 kwa 400 kwa ukawa lkn nashangaaa kuona watu wamewapigia mafisadi cna dawa hosptal eeeeee bado unaipenda ccm jmn? hv una akili timamu kweli ww.ebu acha roho ya umaskini bhna aaaaaaaaa

Wanasiasa wote wapo sawa, hakuna cha Ukawa wala ndugu yake Chadema, wote ni walafi na wasaka tonge.
 
Wanasiasa wote wapo sawa, hakuna cha Ukawa wala ndugu yake Chadema, wote ni walafi na wasaka tonge.
Ukiendekeza hiyo mindset utabaki na upofu wako wewe na kizazi chako!!unawahukumu watu ambao hujawapa nafasi??
 
Wanasiasa wote wapo sawa, hakuna cha Ukawa wala ndugu yake Chadema, wote ni walafi na wasaka tonge.
Nyie ni wale wale nyumbu, kwamba mnapita mahali mnajua kuna mamba mnarudia tena. Bora kubadilisha utawala tuanze kuwajibishana vinginevyo mtabaki na maneno yenu ya kukata tama.
 
Nyie ni wale wale nyumbu, kwamba mnapita mahali mnajua kuna mamba mnarudia tena. Bora kubadilisha utawala tuanze kuwajibishana vinginevyo mtabaki na maneno yenu ya kukata tama.

Wote ni walewale wasaka tonge
 
Hapa ndio umeandika nini?

Umechanganyikiwa huo kilichoandikwa??? Ccm kwisha kbs wez wakubwa kbs mafisadu nyie magaig kbs mmeiba kila kitu pumbafu zetu kbs, wananch wameamke bhna si ww umeuza utu wako unatumika kbs cjui ila buzz ya zaman
 
pamoja na matatizo yote hya kwa wananchi.ufisadi kibao bado unatoka nyumban kwako unaenda kituoni kuipigia kura ccm jmn kweli kweli mtanzania mwenzangu hvi kwl una jicho la tatu.viongoz wanachota pesa zetu bila woga wwote. aiseeee nilijua ccm itapata labda kura 0 kwa 400 kwa ukawa lkn nashangaaa kuona watu wamewapigia mafisadi cna dawa hosptal eeeeee bado unaipenda ccm jmn? hv una akili timamu kweli ww.ebu acha roho ya umaskini bhna aaaaaaaaa

Tulisha kuambia njaa ni kali sana + ujinga wa walio wengi.
 
Back
Top Bottom