Recent content by Bikira23

  1. B

    Sijapata wa kulingana na yeye

    Wapendwa habari zenu. Mimi kama binadamu wa kisasa nimebahitika kutembea na wapenzi wengi sana. Toka nimebarehe kwa kumbukumbu za haraka nimepita Kama na wapenzi 25 ninaowakumbuka. Namkumbuka mwaka juzi nilipata mpenzi mmoja huko mbeya tuka enjoy vya kutosha Sana. Mpaka nikamtambulisha kwa...
  2. B

    Natafuta mchumba wa kiume

    Pole
  3. B

    Natafuta mchumba wa kiume

    Habari wapendwa! Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo; 1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34 2...
  4. B

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Jamani nahitaji mpunga gunia 7 ndani ya siku 3 nipo Mwanza Kama upo humu nicheki pm
  5. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  6. B

    Tumia Smartphone yako kuongeza thamani ya maisha yako

    Ila hivyo vyuo na apps c hadi ulipie?
  7. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    Mkuu naomba mfano wa biashara ya online
  8. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    Pole sana kamanda, ktk mapambano kuna changamoto sana lkn yote kwa yote tumuachie mwenyezi Mungu. Ila ipo siku tutakuja toa ushuhuda hapa kuwa angalau tuna kitu
  9. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    Mkuu kwa saaa pesa ya kununua piki sina, saiv nmepanga mpaka namalza chuo nitakuwa na pesa tajwa hapo kwenye uzi lkn bado haitoshi kununua piki piki.
  10. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    [emoji123][emoji123][emoji123]
  11. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    Unauzua pale pale mwalon boss, wakibaki unakodi chanja au kieneo unaanika
  12. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    Unanunua kutoka kwa mvuvi kwa top afu wewe unaanza kupima ikiwa bado mbichi hivyo hivyo rejereja kwa kutumia ndoo ndogo(chipu).
  13. B

    Maswahibu ya utafutaji nikiwa chuoni

    [emoji123][emoji123][emoji123]
Back
Top Bottom