ushauri jamani,mimi nina wadogo zangu watano ambao niliachiwa na wazazi nikiwa form four wa mwisho alikua darasa la pili wazazi wakitutoka wanne ni wavlana na mmoja tu ndo msichana kwa sasa ni mwanamke.nililazimika kukataa mahusiano kuhofia kushndwa kulea wadogo zangu vizur nikajikuta na miaka32...
pia huyu mume wa flora kajiendekeza unabaka mara tatu?hapa kunakitu hakikowazi.flora kumnyima unyumba ni sawa kama yuko rafu?au michepuko?kwanini nife?
mlishe vizur vitu vya mafuta karanga na pia nazi kwenye chakula kama uwezo upo mpe sapriz za nyama choma.mpe mayai na samaki .pia weww mwenyewe uvutie.alafu sio lazima ufanywe usiku mzima ndo ufike jitahid kurejesha akili yako kitandani unapofanya.
nimewasikia wanaume wengi wakitetea hoja ya kumlala house gal pindi mke anapokua na madhaifu.je nisawa mke kifanya vivyohivyo mume anapokua na madhaifu? wanaume wamekua wabinafs hasemi idhaifu wako wala kukusaidia kujirekebisha wake hauonekani kwani unamhudumia tena unafundishwa uvumilivu ila...
ndeke usiseme hgs niwatamu kuliko nyinyi sema ni mtamu kuliko mkeo.wengine tupo na utamu wetu na niwake za watu wanaojiheshim.tena kusubir hgs aje ndo utake kulala nae niuoga unasubir uletewe? kama wewe rijali mbona hujamfata wa nje?ni ushenzi kazi za ndani husaidii halafu ndo wakwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.