Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Naona mpambano wa moto moto hapa,siku zote anayejijua ana makosa huwa anatafuta sababu za kuuficha uovu wake,mambo ya kusema unanitukana,mara umenichoka,au naoenda kwetu ni uoga tu baada ya kuja mambo yamekuwa si mambo,kama unajiamini kwamba haujawah kutoka na mwingine kwanini uogope kupima?[/QUOTE
Tutaenda kupima Daudi1,ila majibu yatakayothibitisha kuwa ni mwanao ndio itakuwa talaka yangu.
Ni sawa na bint amwambie boyfriend wake nime conceive,kisha kijana aulize "una uhakika ni yangu?"
Inakeraje??
Last edited by a moderator: