Trump yule sio kichaa yule ndio Raisi ambae wamarekani wanamtaka marekani huwa inahitajika mtu mbabe mbabe ndio huyo sasa kama nayoyafanya unaona sio sahihi basi wananchi wake wangeandamana nnchi nzima maana kwao kuna uhuru wa maoni ila marekani ni tulivu
Sasa wewe mkari wa mabwepande ndio unaumia
Nachokiona hapa iran anarusha hovyo.makombora ila damage kidogo ila yeye anapigwa vibaya kama kamenei kapigwa na kufa basi watakuwa wameumia vibaya snaaa
Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini tu hawataachika.
Yaani alikuwa anawaambia hata yeye pamoja ni mchungaji ila akifika ndani kwa mume...
Kumbuka kwa sasa wanachaji nauli sh 1000 kituo hadi kituo, hiyo haitoshi kwa sasa wametuma ombi kwa LATRA kuwa wanafanya kazi kwa hasara hivyo wameomba kuzifungia daladala na bajaji zote njia ya Mbagala Kariakoo wabaki wenyewe
Je, wataweza?
--
Wakati Kampuni ya Mofat inayotoa huduma ya usafiri...
Shehe anasema kaeni mbaali na mwaka mpya ni sherehe ya makafiri na mwaka wa makafiri ila vyeti vyake vya kuzaliwa vina mwaka wa kikafiri Tarehe anatumia za kikafiri
Waislam tukifa makaburi yetu yanaanidikwa tarehe ya kufa na siku uliyozikwa katika mfumo wa tarehe za kikafiri yaani tupo kama...
Juzi nilimuona mkewe anaitwa irada kariakoo msimbazi anazurura tu na shoga yake nikajiuliza kulikoni muke ya mutu mkubwa yupo yupo tu mitaa ya kkoo anapiga misele nikanyamaza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.