Recent content by bikira latifah

  1. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Watoto wa masingle mother mmevamia huu uzi
  2. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Nipo kwenye harusi upande wa bibi harusi meza kuu hakuna baba,wala baba wadogo wala wakubwa meza kuu wapo mama mama wadogo wajomba watoto wa wajamba kaka zake na dada zake tu mean kijana kaenda kuoa binti alielelewa na single mother na hakuwa na mahusiano mazuri na baba zake
  3. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Kariakoo kuna vita kali kati ya wauzaji wa jumla na rejareja

    Upo mpango wao pia wanataka kuagiza china
  4. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Kariakoo kuna vita kali kati ya wauzaji wa jumla na rejareja

    Vita ni kali haswa na wanataka kufikishana pabaya Mteja mwenye Duka la Reja reja mwanza anafunga safari anakuja Dar kwa muuzaji wa jumla ananunua tshrt 10,000 bei ya jumla anabeba hata pisi 300 alafu anaenda kuuza mwanza kwa 15000/18,000 Gafla anakuja kumuona mtandaoni aliemuuzia yupo...
  5. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Wanaume huyo mtoto unayemlea ni wako? Je, umejuaje?

    Shahidi doku
  6. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Wanaume huyo mtoto unayemlea ni wako? Je, umejuaje?

    Naam habari ya mjini kwa sasa mimba anapelekewa mtafutaji na mimba inaletwa ndani ya ndoa na wanaume wengi mnalea watoto sio wenu kama una uhakika mtoto unaemlea ni wako hebu sema umeuaje[emoji16]
  7. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Anguko kubwa la wanaume wengi wanaojitafuta ni kushindwa kudhibiti tamaa zao

    https://youtu.be/JKSEDAmmDTU?si=Tqq0l24aQEtoKd91
  8. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu wa kiislam punguzeni umalaya ona hii

    Kwanza Mods msiunganishe uzi wangu hizi ni tuhuma zangu binafsi kwa kkaa zangu wa kiislam tukiwaambia wanawake sisi ni nuksi na mpunguze kulala na kila mwanamke anaejilengesha huwa hamjielewi ona hii https://youtu.be/JKSEDAmmDTU?si=Tqq0l24aQEtoKd91 Kwa hapa Dar kaka zangu mnaongoza kuzaa...
  9. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Kwanini binadamu atoze wenzake kodi kwenye ardhi ambayo wameikuta wote hapa duniani wakati hao watu hawaiitumii kwenye biashara ni makazi tu?

    Yesu mwenyewe aliikuta kodi na hakuipinga tungekuwa tunaishi pasipokuwa na mamlaka wala kodi kila mtu angeishi kibinafsi kusingekuwa na maendeleo ya pamoja ikiwemo barabara za kisasa
  10. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Mieleka ya WWE ni michezo ya kweli au ni movie live?

    Maigiza nlishaaachaga kuangalia
  11. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Hakuna watu matapeli kama madalali ona hapa

    Dalali hana tofauti na askari polisi wote ni matapeli na hata ukiwa karibu nae au ni ndugu yako kuwa makini kukugeuka ni dk 1 Dalali unamuita kuangalia nyumba anakuuliza kodi sh ngapi nikuletee mteja we unamwanbia ni sh 300,000 kwa mwezi yeye anakuambia baba tulia hapa nakuletea mteja wa laki 6...
  12. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Argentina akitoka na france akitoka hili kombe linakuja africa[emoji23]
  13. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sema hawa argentina walipokutana na cape v walionekana tu wakikutana hata na moroco wameisha
Back
Top Bottom