Recent content by bikira latifah

  1. bikira latifah

    Hivi mashabiki na wapenzi wa Donald Trump wako sawa kichwani?

    Trump yule sio kichaa yule ndio Raisi ambae wamarekani wanamtaka marekani huwa inahitajika mtu mbabe mbabe ndio huyo sasa kama nayoyafanya unaona sio sahihi basi wananchi wake wangeandamana nnchi nzima maana kwao kuna uhuru wa maoni ila marekani ni tulivu Sasa wewe mkari wa mabwepande ndio unaumia
  2. bikira latifah

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Nachokiona hapa iran anarusha hovyo.makombora ila damage kidogo ila yeye anapigwa vibaya kama kamenei kapigwa na kufa basi watakuwa wameumia vibaya snaaa
  3. bikira latifah

    Yule mama mchungaji maarufu aliyekuwa akishauri kuhusu ndoa, hatimaye ndoa imemshinda

    Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini tu hawataachika. Yaani alikuwa anawaambia hata yeye pamoja ni mchungaji ila akifika ndani kwa mume...
  4. bikira latifah

    Kumekucha Mbagala: Kampuni ya MOFAT imetuma ombi LATRA kuziondoa Daladala

    Kumbuka kwa sasa wanachaji nauli sh 1000 kituo hadi kituo, hiyo haitoshi kwa sasa wametuma ombi kwa LATRA kuwa wanafanya kazi kwa hasara hivyo wameomba kuzifungia daladala na bajaji zote njia ya Mbagala Kariakoo wabaki wenyewe Je, wataweza? -- Wakati Kampuni ya Mofat inayotoa huduma ya usafiri...
  5. bikira latifah

    Baadhi ya waislam kama tumeshachanyikiwa

    Kamaa sio kuchanganyikiwa ni nn710
  6. bikira latifah

    Baadhi ya waislam kama tumeshachanyikiwa

    Shehe anasema kaeni mbaali na mwaka mpya ni sherehe ya makafiri na mwaka wa makafiri ila vyeti vyake vya kuzaliwa vina mwaka wa kikafiri Tarehe anatumia za kikafiri Waislam tukifa makaburi yetu yanaanidikwa tarehe ya kufa na siku uliyozikwa katika mfumo wa tarehe za kikafiri yaani tupo kama...
  7. bikira latifah

    Kwanini madereva wanaogopa kufanya kazi kampuni ya Asas?

    Hii kampunni nliwh kuskia tetesi zake kunyanyasa madereva kuwawka ndani pasipo kosa alafu jamaa nliskia kawaweka mfukoni plisi hapo iringa
  8. bikira latifah

    Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Juzi nilimuona mkewe anaitwa irada kariakoo msimbazi anazurura tu na shoga yake nikajiuliza kulikoni muke ya mutu mkubwa yupo yupo tu mitaa ya kkoo anapiga misele nikanyamaza
  9. bikira latifah

    Mbagala BRT: Fujo Kubwa Kutokana na Uchache wa Magari ya Mwendokasi

    Yale ya kimara yameanza kujirudia hapa mbagala watu wamekaa masaa 2 hamna gari wameruka barabarani wamezuia gari nusu wafanyakazi wapigwe Kumbuka wameongeza nauli shi 1000 na.huduma zimeshaanza kuwa.mbovu.
Back
Top Bottom