Recent content by bigvision203

  1. bigvision203

    Rais Magufuli kuzindua ukuta katika migodi ya Tanzanite Mirerani

    Alafu nilikuwa nakuheshimugi ila umejiaribia sana heshima
  2. bigvision203

    Siku ambayo Kikwete anaondoka madarakani nitaiadhimisha kila mwaka

    Haya sasa naamini tokea 2015 ulipoandika huu Uzi leo hii kwa miaka hii michache ya bwana huyu umejiona mjinga sana ... Vyuma vilivyokaza sizani hata smart utakuwa nayo
  3. bigvision203

    Anaandika Waziri wa zamani na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Dr. Anthony Diallo. Historia nzuri sana hii

    Dialo mwanangu ingekuwa vyema ukaongea na kumshauri huyo ndugu yako anatutafuta ugomvi mwenyewe kwanini anaua RAIA wasio na hatia,kwanini wanateka kwanini hapendi kukosolewa,kwanini hali ya uchumi ni mbaya hivi,kwanini watoto na wajukuu zetu wanakosa mikopo ya chuo,kwanini wanamaliza chuo...
  4. bigvision203

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Ushaanza Pumba,,,focus kwenye kilichoongelewa achana na jicho la dini
  5. bigvision203

    Hii ndio sababu maandamano ya #TanzaniaRevolution hayatofanikiwa

    Daaah mtetemo mtetemo , Huku ikulu mtetemo Twende Lumumba mtetemo Huku polisi mtetemo Wananchi kataa 24/4 Na Mange kataa.
  6. bigvision203

    Jinsi ya kufuga dagaa

    Hahaaaa Mzee wale sio nyangumi kama sato wakubwa wanafugwa kwenye kaeneo kadogo why not dagaa
  7. bigvision203

    Jinsi ya kufuga dagaa

    Dagaaa dagaaa
  8. bigvision203

    Jipatie Pembejeo na vifaa vya kuzalishia chakula lishe cha mifugo(hydroponic fodder)

    Sorry hiyo ni very confidential...tuwasiliane nikupe njia ya kufanya kupata
  9. bigvision203

    Jipatie Pembejeo na vifaa vya kuzalishia chakula lishe cha mifugo(hydroponic fodder)

    Tray tunazo tengeneza tray moja ina uwezo wa kuotesha kilo mbili za mtama au ulezi au ngano
  10. bigvision203

    Jipatie Pembejeo na vifaa vya kuzalishia chakula lishe cha mifugo(hydroponic fodder)

    Tray tunazo tengeneza tray moja ina uwezo wa kuotesha kilo mbili za mtama au ulezi au ngano
  11. bigvision203

    Kwanini wanawake hawafuti namba za simu

    Ni kwasababu wanajua ulivyo mdhaifu na anauwezo wa kukufanya urudi kwake ila tu itachukua muda kidogo.. Ndio maana anauwezo wa kukufwata kimitego japo umemuacha na ukalal naye akakutegeshea na mimba
Back
Top Bottom