Haya sasa naamini tokea 2015 ulipoandika huu Uzi leo hii kwa miaka hii michache ya bwana huyu umejiona mjinga sana
...
Vyuma vilivyokaza sizani hata smart utakuwa nayo
Dialo mwanangu ingekuwa vyema ukaongea na kumshauri huyo ndugu yako anatutafuta ugomvi mwenyewe kwanini anaua RAIA wasio na hatia,kwanini wanateka kwanini hapendi kukosolewa,kwanini hali ya uchumi ni mbaya hivi,kwanini watoto na wajukuu zetu wanakosa mikopo ya chuo,kwanini wanamaliza chuo...
Ni kwasababu wanajua ulivyo mdhaifu na anauwezo wa kukufanya urudi kwake ila tu itachukua muda kidogo..
Ndio maana anauwezo wa kukufwata kimitego japo umemuacha na ukalal naye akakutegeshea na mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.