bigvision203
Member
- Nov 1, 2017
- 35
- 21
Wa ndugu,
Kati ya samaki wenye mpaka soko la nje ni dagaa na ufugaji wenye uhakika wa soko. Naona watu wanafuga sato na kambale na wale samaki wa mapambo ila bado sijaona wanao fuga dagaa.
Naomba wataalamu wanaojuwa mazingira ya kufugia dagaa,na uwezekano wa kufuga dagaa wanieleweshe natamani kufuga very soon
Kati ya samaki wenye mpaka soko la nje ni dagaa na ufugaji wenye uhakika wa soko. Naona watu wanafuga sato na kambale na wale samaki wa mapambo ila bado sijaona wanao fuga dagaa.
Naomba wataalamu wanaojuwa mazingira ya kufugia dagaa,na uwezekano wa kufuga dagaa wanieleweshe natamani kufuga very soon