Habari wadau,
Natafuta soko la Kuuza Soya,mimi ni mjasiriamali, so far nina soko moja (cliebt mmoja pekee Arusha), iwe ndani ya nchi au nje ya nchi,mwenye info anipatie,iwe hapa jukwaani au PM.
Kuna baadhi ya viwanda hapa nchini hutumia Soya pia kwa ajili ya kutengenezea Mafuta ya kupikia...