Recent content by bigmukolo

  1. B

    Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka

    Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka nifanye biashara ya kununua na kuuza mchele au hata mkopo kama inawezekana ntaweka bond pikipiki yangu aina ya motomorini
  2. B

    HESLB, ZEEA zasaini Makubaliano kuwezesha wanufaika mikopo Kujiajiri

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kutafuta fursa za ajira kwa wanufaika na mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha kurejesha. Hafla ya utiaji saini makubaliano hayo imefanyika...
  3. B

    Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Sina hati..nna kadi za pikipiki
  4. B

    Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Wanna bodi hivi ntapata wapi mkopo wa million MOJA na NUSU Kuna magunia ya mpunga nataka nikayanunue nije nikoboe naweza pata faida ya laki 4..dhamana nna pikipiki mbili ...nawasilisha
  5. B

    Joshua aliwakosea nini HAMAS?

    Alikua amevaa boxer ya jeshi
  6. B

    Maumivu kwenye kifua upande wa kushoto

    Hii hali imenianza Jana sasa sijui ntakua na shida gani, nikikaa na nikilala ndo nasikia hayo maumivu. Mnisaidie nateseka sana!
Back
Top Bottom