Recent content by bigmukolo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Huu Uzi bado upo
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka

    Naishi bugando ila kwa Sasa nipo meatu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka

    Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka nifanye biashara ya kununua na kuuza mchele au hata mkopo kama inawezekana ntaweka bond pikipiki yangu aina ya motomorini
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

    Ba kiswahili msisome hii kizi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Miaka mingi
  6. B

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Uzi bado upo
  7. B

    JamiiForums Tanzania HESLB, ZEEA zasaini Makubaliano kuwezesha wanufaika mikopo Kujiajiri

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kutafuta fursa za ajira kwa wanufaika na mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha kurejesha. Hafla ya utiaji saini makubaliano hayo imefanyika...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Sina hati..nna kadi za pikipiki
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Nipo mwanza
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Wanna bodi hivi ntapata wapi mkopo wa million MOJA na NUSU Kuna magunia ya mpunga nataka nikayanunue nije nikoboe naweza pata faida ya laki 4..dhamana nna pikipiki mbili ...nawasilisha
  11. B

    JamiiForums Tanzania Joshua aliwakosea nini HAMAS?

    Alikua amevaa boxer ya jeshi
  12. B

    JamiiForums Tanzania Maumivu kwenye kifua upande wa kushoto

    Hii hali imenianza Jana sasa sijui ntakua na shida gani, nikikaa na nikilala ndo nasikia hayo maumivu. Mnisaidie nateseka sana!
Back
Top Bottom