Kwa cheque mkuu, hata hivyo nilishafanya hivyo mara nyingi huko nyuma lakini sikuwahi kuona makato kama ya wakati huu, ndio maana nikasema kuna kitu kinaendelea ndani ya bank hii hatukijui.
Jamani, kulikuwa na mada humu zikilalamikia makato yanayofanywa na CRDB bank, mpaka wengine kutishia kuhama bank hiyo na kutafuta huduma kwenye mabenki mengine. Kwa kweli leo nimepata fresh na kesho itabidi niende kwenye tawi lao nionane na manager nipate ufafanuzi juu ya hili.
Nisiwachoshe...
Mkuu
Asante sana kwa taarifa yako. Hebu tusaidie wakishafanya huo upuuzi wao, gari yangu itakuwa na madhara yapi nikiendelea kuitumia? Na ni lazima nirudishie kilichoibiwa au naweza endelea kutumia Kama hakuna kilichotokea?
Wadau,
Vipi hii ndinga NIssan Terrano kwa wanayoifahamu performance yake barabarani, uimara wa gari yenyewe, spare zake upatikanaji wake na kadhalika, kwa wale wajuzi wa magari maana Kuna mtu anataka kuniuzia japo bado sijaamua. Hi ni ya petrol engine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.