Kweli CRDB ni majanga

Kweli CRDB ni majanga

Mimi pesa zangu nahifadhi Airtel money na tigo pesa na nyingine room..CRDB akaunti nilitoa pesa yote japo haikua sababu ya makato maana sifuatilii
Mkuu mimi niliweka laki saba tu ikapita mwezi nikasema ngoja niongeze laki nilivyofika kucheki balance nikakuta wamekata 16000 ikabidi niwatumie sms kwenye kila mtandao waliopo wakanijibu wamekata makato ya account kwa mwaka...
 
Jamani, kulikuwa na mada humu zikilalamikia makato yanayofanywa na CRDB bank, mpaka wengine kutishia kuhama bank hiyo na kutafuta huduma kwenye mabenki mengine. Kwa kweli leo nimepata fresh na kesho itabidi niende kwenye tawi lao nionane na manager nipate ufafanuzi juu ya hili...
Mkuu omba bank statement itakup taarifa zlte za miamala yako gharama ni ndogo sana ukiomba unapewa
 
Mimi natumia CRDB kwa muda na sijaona mengi ya yaliyosemwa na wadau hapo juu. Nashauri kwenda Bank iliyo karibu na uongee na Branch Manager au wahudumu.
Ahsante
Kama hauna salio, hawezi kuyajua hayo😂😂😂🤫! Waache wenye masalio ya kutosha watoe takwimu!
 
Mkumbuke pia kwa wanaoangalia salio kwa ATM card ambazo zinauwezo wa kutoa pesa katika bank aina yeyote.. Mjue pia makato ni tofauti... Makato ya chini ukiwa una card ya CRDB lakini unatolea NBC gharama haipungui 5900/= hili suala hata wafanyakaZi wengi wa hizi bank. Hawajui kama makato pia yameongezwa
 
Mm nilishaga jitoa nilipoona makato ni hovyo hovyo nikawaomba wanisajili internet banking nione makatp vzr wakaweka aiseeee ni balaa nilichoka nikaenda ofisin nikawqambia naomba mnipe tarrif guide yenu wakaniambia hawana apa ndio nikajua hawa wez tu mtu unafungua account hujui mouthly maintainance fee sh ngap ndio nn sasa wanaweza kukukata ata laki na ukashindwa kujitetea sababu hamna doc inayoonesha mouthly mantainance fee sh ngap ukiwauliza kwa nn utasikia huwa zinapanda na kushuka piga chin hawa vibaka nenda NMB
Tarrif Guide 2020 CRDB
 
Mm nilishaga jitoa nilipoona makato ni hovyo hovyo nikawaomba wanisajili internet banking nione makatp vzr wakaweka aiseeee ni balaa nilichoka nikaenda ofisin nikawqambia naomba mnipe tarrif guide yenu wakaniambia hawana apa ndio nikajua hawa wez tu mtu unafungua account hujui mouthly maintainance fee sh ngap ndio nn sasa wanaweza kukukata ata laki na ukashindwa kujitetea sababu hamna doc inayoonesha mouthly mantainance fee sh ngap ukiwauliza kwa nn utasikia huwa zinapanda na kushuka piga chin hawa vibaka nenda NMB
NMB gani unayoipia upatu? National microfinance bank!? Hawa nao wanahitaji kujitathmini!
 
Kwa hapa mjini EQUITY BANK hawana makato hata kuangalia salio ni bure anatumia mke wangu, ila mimi natumia BANCABC makato ni kuangalia salio TU! Sema shida hawana branch nyingi kama hao majambazi.
Sasa si ndio mmeshawachongea hao Equity? muda si muda nao wataanza kazi.
 
Mkuu umetoa kwa njia hipi? Ya simu?
Kwa cheque mkuu, hata hivyo nilishafanya hivyo mara nyingi huko nyuma lakini sikuwahi kuona makato kama ya wakati huu, ndio maana nikasema kuna kitu kinaendelea ndani ya bank hii hatukijui.
 
Back
Top Bottom