Recent content by BIGK

  1. BIGK

    Nafundisha kutengeneza dawa za asili

    Karibu katika group langu ambalo utajifunza kutengeneza dawa za asili Ukitaka kujiunga katika group tuma namba yako ya whatsapp PM Mafunzo yataanza tarehe 15 / 11 na kuisha 15 / 12 Hii itakua free
  2. BIGK

    Kwa wakazi wa mwanza, arusha ,tanga nawataarifu kuna biashara nzuri mikoa yenu

    No sio utapeli wakiiijuaa wengi soko litakufaa
  3. BIGK

    Kwa wakazi wa mwanza, arusha ,tanga nawataarifu kuna biashara nzuri mikoa yenu

    Wenye mapenzi ya biashara mliopo mikoaa hiyo mnaawezaa kupiga pesa na kupata milioni kwa mwezi ila mtaji uwe milioni 8-10 ndo utaweza Fanya Mwenye shida ya kujua na Mwenye mtaji aje pm
  4. BIGK

    Jifunze kutengeneza mafuta ya kupaka ujiongezee kipato

    Habari zenu wakuu: Karibuni kujifunza kutengeneza mfuta ya kupakaa Aina za mafuta hayo Mafuta ya kuondo chunusi Mafuta ya kungarisha ngozi Mafuta ya kuweka rangi moja mwili mzima bira kuchubua ngozi Mafuta ya kuchubua Mafuta ya watu wa mafuta na wasio na mafuta Kubwa zaidi natoa na ushauri wa...
  5. BIGK

    Biashara gani inalipa ya kusafisha bidhaa

    Naombeni ushauri
  6. BIGK

    Ushauri na muongozo kuhusu biashara ya mifuko ya plastic na ile ya karatasi

    Jamani wadau habari zenu natamani kufungua kibanda ila nimepata wazo la kuuza rambo au mifuko ni biashara nzuri kwa walio nitangulia au sivyo. Nataka kujua changamoto zake. Naombeni ushauri wenu
  7. BIGK

    Natafuta mfanyakazi wa ndani

    unafungia vitu unampimia
  8. BIGK

    Natafuta mfanyakazi wa ndani

    tuma namba
  9. BIGK

    Wanawake wengi wanajua mapenzi ila hawajui kukata kiu ya mapenzi

    Wewe wangu hatokiiii kabisa labda wako ndo ajui
  10. BIGK

    Baada ya kutafuta mtoto kwa muda mrefu na kukosa hata hisia za kufanya nae mapenzi sina

    Kama una mpenda mkeo jitoe muhanga kama huyo jamaa
  11. BIGK

    Baada ya kutafuta mtoto kwa muda mrefu na kukosa hata hisia za kufanya nae mapenzi sina

    Mhuuuuuuuu pole kaka yangu naomba namba ya mkeo nijaribu kuzungumza nae nijue nini tatizo kulingana na maswali nitakayo muuliza mimi ni Ke sio me
Back
Top Bottom