Karibu katika group langu ambalo utajifunza kutengeneza dawa za asili
Ukitaka kujiunga katika group tuma namba yako ya whatsapp PM
Mafunzo yataanza tarehe 15 / 11 na kuisha 15 / 12
Hii itakua free
Wenye mapenzi ya biashara mliopo mikoaa hiyo mnaawezaa kupiga pesa na kupata milioni kwa mwezi ila mtaji uwe milioni 8-10 ndo utaweza Fanya Mwenye shida ya kujua na Mwenye mtaji aje pm
Habari zenu wakuu:
Karibuni kujifunza kutengeneza mfuta ya kupakaa
Aina za mafuta hayo
Mafuta ya kuondo chunusi
Mafuta ya kungarisha ngozi
Mafuta ya kuweka rangi moja mwili mzima bira kuchubua ngozi
Mafuta ya kuchubua
Mafuta ya watu wa mafuta na wasio na mafuta
Kubwa zaidi natoa na ushauri wa...
Jamani wadau habari zenu natamani kufungua kibanda ila nimepata wazo la kuuza rambo au mifuko ni biashara nzuri kwa walio nitangulia au sivyo.
Nataka kujua changamoto zake.
Naombeni ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.