BIGK
Member
- Sep 6, 2017
- 21
- 22
- Thread starter
- #21
unafungia vitu unampimiaTena Kwa Mshahara huo ataweza kupata kabisa wa hapa Dar wa kutwa, tena anaweza pata Mtu mzima msafi anaejielewa ! A house keeper with less supervision ! Ila changamoto Yao kubwa nasikia ni kuiba vitu vya nyumbani Kama vile mafuta ya kupikia , sabuni , sukari, mchele , unga, maharagwe n.k Eti Bombay hali hiyo unawezaje kuizuia? Maana nyie mna uzoefu wa kutumia hawa wa kuja na kuondoka kwao