Hili suala ni kweli kabisa wakati nasafiri kutoka Dar es salaam kwenda bukoba wiki iliyopita kuna kabinti nilshangaa kanakuja kukaa na mimi huku kanachekacheka mi wala sikushoboka wala nini
Jamani nimeitwa interview kwa post ya sales representatives yoyote anayejua duties and responsibilities za kazi hii anijuze Hata mshahara wanalipa kiasi gani ?
Kuna msichana nampenda lakini yeye nahisi hanipendi nikimtumia meseji hajibu anasema hana credit .Kisa kwamba nilshawai kumtongoza akanikataa ni miezi sita sasa namfuatilia mpaka nimechoka yeye anataka nimpigie simu mimi tu .
Kuna rafiki yangu ana tatizo la kutoka harufu mbaya kutokea katika koromeo na kwenda mdomoni sijui tatizo ni nini ? .Halafu rafiki yangu anapenda kunywa pombe kali kama konyagi.Msaada please .
Pole sana mkuu mimi hilo tatizo hata lilishamkuta jirani yetu ,lakini manyanyaso yalipozidi kwa mama yake alichemsha maji ya moto akamwagia huyo baba basi huyo baba akaungua usoni na kifuani baada ya kupona hakuleta vurugu tena na hata nyumbani akakimbia anarudi mara moja moja .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.