Recent content by bigi 8

  1. B

    Wanawake safarini hawajui kukataa

    Hili suala ni kweli kabisa wakati nasafiri kutoka Dar es salaam kwenda bukoba wiki iliyopita kuna kabinti nilshangaa kanakuja kukaa na mimi huku kanachekacheka mi wala sikushoboka wala nini
  2. B

    Sales representatives at barclays bank

    Jamani nimeitwa interview kwa post ya sales representatives yoyote anayejua duties and responsibilities za kazi hii anijuze Hata mshahara wanalipa kiasi gani ?
  3. B

    Kauli mbaya uliyowahi kujibiwa na mpenzi wako wakati unamtongoza

    Unakimbiza upepo wewe .Dah hilo jibu siwezi kulisahau nilivyojibiwa
  4. B

    Lecture anamtaka mpenz wangu!!

    chuo unaogopa kukitaja kwanini mi .kiatakuwa Muccobs hicho ndiyo Ue wamemaliza ijumaa sasa wasubmit research
  5. B

    Ahadi anazotoa mtu akiwa amelewa pombe

    Kwa hiyo mtu akiwa mlevi ndiyo asioe basi wewe tafuta malaika akuoe
  6. B

    Kuna msichana nampenda lakini yeye hanipendi

    Kuna msichana nampenda lakini yeye nahisi hanipendi nikimtumia meseji hajibu anasema hana credit .Kisa kwamba nilshawai kumtongoza akanikataa ni miezi sita sasa namfuatilia mpaka nimechoka yeye anataka nimpigie simu mimi tu .
  7. B

    Msaada tafadhali

    Kuna rafiki yangu ana tatizo la kutoka harufu mbaya kutokea katika koromeo na kwenda mdomoni sijui tatizo ni nini ? .Halafu rafiki yangu anapenda kunywa pombe kali kama konyagi.Msaada please .
  8. B

    Radio Imani Morogoro mnakotupeleka hakufai. Mwisho wake mbaya sana!

    breaking news hiyo redio ya kiislamu imefungiwa miezi sita na Tcra leo
  9. B

    Taarifa ya ajali ya Kamanda Mawazo na namba yake ya simu!

    Mkuu Exaud Mamuya ni nasikia una mpango wa kugombea ubunge vunjo.Je ni kweli ?
  10. B

    baba yangu alivyomtesa mama yangu

    Pole sana mkuu mimi hilo tatizo hata lilishamkuta jirani yetu ,lakini manyanyaso yalipozidi kwa mama yake alichemsha maji ya moto akamwagia huyo baba basi huyo baba akaungua usoni na kifuani baada ya kupona hakuleta vurugu tena na hata nyumbani akakimbia anarudi mara moja moja .
  11. B

    Nisaidieni jamani

    ushauri nipe
Back
Top Bottom