Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa
kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.
Hii itatupa fursa ya kucheza...
Habari Wana JF,
Ivi ni kwangu tu au Maana juzi nimenunua umeme lakini nashangaa makato ni 2000 badala ya 1500 naombeni kukuuliza ili kama nimeibiwa nijue Nini cha kufanya wakuu.
Ahsanteni.
Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 25 Ijayo
Utangulizi
Tanzania, nchi yenye utajiri wa maliasili, tamaduni mbalimbali, na watu wenye bidii, ina fursa kubwa ya kufanikisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Ili kufikia Tanzania tunayoitaka, ni muhimu kuwa na maono ya kibunifu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.