Recent content by Bigdfx

  1. Bigdfx

    Najihisi aibu, nimejieleza sana

    Mkuu utaweza NoFap mpaka kiama!?, sio tu kusex ni kutoruhusu manii yatoke nje kwa njia yoyote. Upigagi puchu?
  2. Bigdfx

    Nilivyoumbuka kwenye swimming pool

    Nimecheka aiseeh [emoji23]
  3. Bigdfx

    Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

    We Jamaa umeleta hesabu wakati huzijui. 39 + 23 ni 59!!!!?
  4. Bigdfx

    Rukwa: Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyonga akimtuhumu kuchepuka, naye ajiua kwa kujinyonga

    Mwanaume ukishagongewa na ukathibithisha mke wako amegegedwa haina haja ya kumsimulia mtu ila ni kuchukua maamuzi maana ukisimulia mkewako ametom*wa halafu huchukui maamuzi yoyote ni kama umemvua nguo mkeo hadharani halafu unaendelea kuishi nae. Ukishagongewa ukajua Ni either ukae kimya au useme...
  5. Bigdfx

    Nina mpango wa kuwapandisha Meridianbet mahakamani, wamenidhulumu pesa nyingi sana. Mmiliki ambaye ni Waziri jiandae

    Kwenye haya maisha kila kitu ni kubeti, niambie kitu gani unakifanya ambacho haubeti?? Ukifikiria nawe pia ni mjinga! kuishi kwenyewe ni kubeti, unajua kinachokukuta dk20 zijazo?
  6. Bigdfx

    Forex Trade imeniumiza

    Ulivyodouble acc ungetoa deposited amount. Tatizo mnatrade ili mfanyie show off hizo digits zinazoonekana kwenye Trading platform. "Trade to withdraw" Risk only 2% of your equity. Follow the plan and plan will trade for you
  7. Bigdfx

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    We jamaa hauna story zingine nizidi kukufatilia?
  8. Bigdfx

    Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

    We jamaa unasema unaendelea kukusanya ushahidi, hiv hujui maana ya mtu anapokwambia amevumilia mpka amechoka! Ina maana yeye ameshindwa hyo vita amekuachia wewe mumewe kwahyo na ww ukiendelea kusubiri hvyo ndo unampa jamaa ushindi na ataliwa we subiri hvyohvyo
  9. Bigdfx

    Kwa yaliyotokea, ni wazi naanza kupata mental illness au effects za vitu nilivyotumia awali

    Ishanikutaga hii changamoto kubwa ilinikuta, ndugu na wazazi wakanikatisha tamaa kabisa niliondoka home kwa hasira na msongo nikawa Nasafiri naenda nisikokujua na nilisema nitakapoishia ndio hapohapo napiga kambi, nikiwa naelekea songea tukashuka Tunduru Bus Terminal kupata chakula na kujisaidia...
  10. Bigdfx

    Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

    Hiyo hali yako inatokana na sababu kuu mbili 1. Kufanya mapenzi mfululizo bila kuacha nafasi ya siku atleast wiki 2. Kujichua(punyeto) na kuangalia sana filamu za ngono mpaka unapata addiction. Mimi pia nilikuwa mhanga wa hali hiyo ila nashukuru nimejitibu kisaikolojia baada ya kupewa ushauri...
  11. Bigdfx

    Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

    Karibu Sana Lindi. Dada zetu ni watamu ila ni wachawi balaaaa
  12. Bigdfx

    Wizi mpya wa Vodacom: Waziri wa Mawasiliano ingilia kati

    Na wewe huelewi... Kwa kutumia huohuo mfano wako, suala ni kwamba sio ukitaka irudi, ni "ukitaka nisichukue nyingine niambie"
  13. Bigdfx

    SANDALS

    Ndo ulijue kosa lako
  14. Bigdfx

    Vijana tufanye kazi nyingine, hamna tajiri Tanzania aliyetajirika na Forex

    Sio bila indication Ila wew ndo huzioni indications. inaonekana umeingia kwenye forex ukaanza kuwinda pesa na sio maarifa yake
Back
Top Bottom