SANDALS

SANDALS

Ukishindwa kuweka bei watu wanaweka bei zao,ni vema ukitangaza biashara yako usiogope kuweka bei,weka bei usiogope kuna kitu utapata hata kama ni nje ya malengo yako.
 
Ukishindwa kuweka bei watu wanaweka bei zao,ni vema ukitangaza biashara yako usiogope kuweka bei,weka bei usiogope kuna kitu utapata hata kama ni nje ya malengo yako.
Kwel nimeelewa tatizo liko wapi nashukuru wakuu!!!
 

MKUU,

KWA HIYO BEI YA MILIONI SITA HATA MOTHER_HANGAYA HAWEZI KUNUNUA.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Miaka kama mitano nyuma nikiwa chuo, kuna jamaa alikua anajina kama lako facebook alikua anaweka comedy, nilikua nasoma sanaa..

Nikatokaga facebook, ila jina ndio lako au ni ww mzee, nimeshangaa kuona same name huku JF.

Ulikua udsm nafikiri.
 
Pamoja na watu kukutaka uweke bei umeshindwa kuweka

Watanzania mnakwama wapi jaman


Juz nilikuwa Kenya nilihtaj bidhaa mtandaon hao jamaa waliweka mtandao Bei na nikapata bidhaa yangu

Sasa hili siko la pamoja la afrika mashariki mtaliweza kwel watanzania wenzangu?


BADILIKENI HAYO MAMBO YA INBOX LABDA UNABIDHAA NYINGINE NJE YA VIATU UNAFANYA
 
Jiefu ukija na hasira utakoma😂😂😂 nishacheka sina mbavu watu wako busy na bei mleta mada anashangaa zimetoka wapi😂

Mimi nilikuwa basubiri comment inayosema hivi.

" watu wa arusha mnaonaga kila mkoa una wazungu wa kuwauzia viatu sh 300,000"
 
Jiefu ukija na hasira utakoma nishacheka sina mbavu watu wako busy na bei mleta mada anashangaa zimetoka wapi

Mimi nilikuwa basubiri comment inayosema hivi.

" watu wa arusha mnaonaga kila mkoa una wazungu wa kuwauzia viatu sh 300,000"
Hahahaaha jamaa wa JF wamenichanganya sana kila mtu anakuja na bei yake ila next time nitajirekebisha
 
Hahahaaha jamaa wa JF wamenichanganya sana kila mtu anakuja na bei yake ila next time nitajirekebisha
Wewe kwa akili yako inavyoonekana hutakuja kubadilika.Licha ya kusumbuliwa kuulizwa na kutakiwa utaje bei,mpaka sasa unakuja na comment za kuchat tu,BEI BADO HUTAKI KUWEKA,na inavyoonekana utakuja kujibu comment yangu ila bei hutoweka pia.
 
Wewe kwa akili yako inavyoonekana hutakuja kubadilika.Licha ya kusumbuliwa kuulizwa na kutakiwa utaje bei,mpaka sasa unakuja na comment za kuchat tu,BEI BADO HUTAKI KUWEKA,na inavyoonekana utakuja kujibu comment yangu ila bei hutoweka pia.
Mpaka hapo unadhani anauza? Ameposti kujifurahisha tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwa akili yako inavyoonekana hutakuja kubadilika.Licha ya kusumbuliwa kuulizwa na kutakiwa utaje bei,mpaka sasa unakuja na comment za kuchat tu,BEI BADO HUTAKI KUWEKA,na inavyoonekana utakuja kujibu comment yangu ila bei hutoweka pia.
Labda alikua anatania maana haiwezekani muda wote anapigiwa kelele bei haweki, hayuko serious kabisa.
 
Kwa bei ya jumla
PhotoGrid_Plus_1639762885295.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom