Recent content by Bigawas

  1. Bigawas

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Hata mama mwenyewe kakiri wizi umeongezeka,au wewe unaona anajichafua mwenyewe?
  2. Bigawas

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Tutatampa miaka 4 Ila asiitoe nchi kwenye uchumi wa kati na kuirudisha kwenye umaskini,aipandishe zaidi
  3. Bigawas

    Rais Samia, ikitupendeza futa Jeshi la Polisi, Tuletee Huduma ya Polisi

    Polisi wana kazi kubwa sana ndani ya nchi, kuhakjkisha amani ya ndani ya nchi inadumishwa, hata uhuru ulio nao ukashika simu yako na kuandika huu uzi na hakuna aliyekuja kukupora ni kazi yao, na jeshi la wananchi lina majukumu yake makubwa,kuzuia maadui wavamizi,waasi n.k Jwtz kuchukua kazi ya...
  4. Bigawas

    Rais Samia, Polisi wanadanganya kuhusu mauaji ya Hifadhi ya Ruaha, usikubali hili

    Sio vibaya mkuu ungefafanua kama alituhumiwa kufanya nini ili hata mtu avute hisia kama alistahili au alionewa. Kuna baadhi ya matukio, mtu anatuhumiwa na watu tofautitofauti na taarifa za huyo mtu unakutwa zimeripotiwa zaidi ya mara 7 police.Kama ni wa namna hiyo ni halali yake wala usilalamike.
  5. Bigawas

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Hapo naona ndio tatizo linakwamisha kutatua huu mzozo. Hadi leo jumuiya ya kimataifa hawataki kuitambua hamasi Kama mtawala, Ila wamemtambua Abas kama Rais wa palestina. Abas hana mamlaka huko Gaza. Hii ni changamoto. Lakini naona Misri anaheshimiana na pande zote, anaweza shika usukani wa...
  6. Bigawas

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Wanakutanishwa viongozi hata kama wapiganaji wao wanaendelea kupingana.Hayo yalishafanyika nyuma kidogo tena nakumbuka ni Misti iliwakutanisha, baada ya mazungumzo wakasitisha vita.UN ni zaidi ya Misti.
  7. Bigawas

    Israel: Benjamin Netanyahu afanya kikao na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi & Usalama na kuagiza Mashambulizi dhidi ya Hamas yaendelee kwa nguvu kubwa

    Chanzo cha sasa hivi ni maroketi ya hamas.Pamoja na kuzoea kurusha mara kwa mara,haya ya wakati huu yameleta madhara makubwa tofauti na yaliyozoeleka. Majengo yaliwaka moto na raia kufa. Kwa hali kama hiyo hata kama waziri mkuu angekuwa mwingine lazima angechkua hatua kali.Sidhanii Kama kuna...
  8. Bigawas

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Ila hawajawakutanisha kwenye kikao.
  9. Bigawas

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Unatofautishaje wizi na ujambazi?
  10. Bigawas

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Kwani hukusikia Rais wetu Samia Suluhu akisema wizi umeanza kushamiri kwa kasi. Na yeye alisema kwa kuchekesha?
  11. Bigawas

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Sio wizi tu,hata kuuawa albino kumerudi, hii ni taswira mbaya kwa utawala huu
  12. Bigawas

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Aisee, yaani UN tunayoifahamu kuwa inaongozwa na nchi wanachama 5 wa kudumu, kumbe iko mikononi mwa Marekani pekee
  13. Bigawas

    Kiongozi wa Kikundi cha Ugaidi cha Islamic Jihad auawa na Israel

    Kwani kikao cha UN jana kuhusu hii vita waliamuaje?
  14. Bigawas

    Watanzania 2 wakamatwa na kilo 15.6 za Heroin nchini India

    Wanasemaga fanya lolote lile ili umaskini ukutoke, lakini mipango imebuma
Back
Top Bottom