Ni kwa sababu ni dhaifu, siyo nchi useme anapigana na nchi kama mfano mdogo tu kama South Africa! Kwa hao Wapalestina kufananisha na Israel ambayo Bajeti yake ya Kijeshi na Msaada wa US kwa Israel ni mkubwa kuliko hata uchumi wa Nchi nzima(soma utawala) wa PalestinePalestina wamekutana na vichaa wenzao. Watapigwa kama mbwa koko
Kwani kikao cha UN jana kuhusu hii vita waliamuaje?
Asante. Nilitaka niongezee kitu hapo ila wacha ninyamazeHii vita ya Israel na wapalestina ni ngumu sana kuitolea maamuzi, kwa maana inagusa imani, kama kuanza ilianza tangu enzi za mitume na adi leo bado inasumbua, Waisrael wanadai Mwenyezi Mungu aliwaambia wakiue kizazi chote cha wapalestina na waarab walio wakuta ndani ya ‘nchi ya ahadi/ Israel’ lakini huruma yao ya kuto wamaliza ndiyo inayo wapinza adi leo........
Aisee, yaani UN tunayoifahamu kuwa inaongozwa na nchi wanachama 5 wa kudumu, kumbe iko mikononi mwa Marekani pekeeUSA aliblock,hakuna maamuzi yaliyofikiwa
Kweli kabisa. Hebu angalia hiyo Israel ni kama Amerika upande wa kujenga majumba yao, ni lazma ukijenga jumba, liwe na handaki la kisasa, lenye uwezo wa kukuhifadhi wakati wa vita na ndani full stock kama MRE zile za kijeshi (packed/canned foods). Upande wa pili, wa Palestina sidhani ka system hiyo ya ujenzi upo, ndo maana maafa yako mengi kushinda Israel. Na Hamas wanajificha kati kati ya raia, na raia hawapigi kitu. Sasa kitu cha rocket kikitumwa, Hamas hao, kwenye mashimo yao, raia mnaachwa open mliwe vitu vya angani.Hawa wapiganaji wa Palestina waweke silaha chini maana wanawake wazee na watoto wadogo ndio wanaoathirika zaidi katika hayo mapigano yasiyokwisha, Israel na Jumuia ya Kimataifa wana jukumu la kuhakikisha Amani inarejea tena Mashariki ya kati, Vile vile wanamgambo wa Hezbollah na rafikize Hamasi wajongee meza ya mazungumzo wafanye maridhiano pande zote, Wakaubali kwamba hawawezi kuishinda Israel wakiwa vikundi vikundi la sivyo Umma wote wa Palestina watapa taabu.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Huo ni umaskini wa akili na uvuvi wa kufikiri. Hayo matumizi mabaya ya kichwa. Think big. Don't be brain washedMtoto wa kijakazi na mtoto wa mke halali Baba mmoja
Vipi ww mvaa kobazi....Huo ni umaskini wa akili na uvuvi wa kufikiri. Hayo matumizi mabaya ya kichwa. Think big. Don't be brain washed
Waisrael walikua watu wa kuvamia maeneo kuua wote walio katika eneo hilo na kulikalia toka kitambo walipopewa kaanani..wakaenda utumwani misri na hata walipo rudi..maandiko yanasema hivyo.Ngozi nyeusi mna shida sana, wakati Kinjekitile na Mkwawa walipokuwa wanapigana na wazungu kulinda ardhi yao tunaona ni tendo la kishujaa lakini kwa wapalestina unaona ni sawa tu kufa sababu bila shaka kwenye akili yako Israel taifa la Mungu.
Unategemea mtu dhaifu anaepigana kulinda maslahi yake awe na silaha sawa na mtu anaemkandamiza? Ni mapambano gani duniani ya ukombozi uliona anaeonewa ana silaha za kisasa.
Hamas na wapalestina ni wapigania uhuru wa eneo lao la asili kama walivyokuwa mababu zenu kipindi cha ukoloni.
Kuwapa eneo wazungu waliotoka Ulaya na kuhalalisha kuwa wana asili ya pale huku wakazi asili wakikosa hadhi ya kuwa nchi na kuishia kuonewa kwa ubaguzi wa rangi ni kosa la jinai.
Anza weweHawa wazungu wavamizi kutoka ulaya ni majambazi na makatili sana
Dunia iungane kuwafurumusha kutoka ardhi ya palestina.
UN hawana la kufanya maana Hamas hataki acha kurusha rockets na Israel anajilindaKwani kikao cha UN jana kuhusu hii vita waliamuaje?
Ila hawajawakutanisha kwenye kikao.UN hawana la kufanya maana Hamas hataki acha kurusha rockets na Israel anajilinda
Watakutanishwa vipi wakati wanaendelea kurushiana vifaa?Ila hawajawakutanisha kwenye kikao.
Hawawezi kutanishwa sababu Hamas anajulikana kama GaidiIla hawajawakutanisha kwenye kikao.