Recent content by Big Simba

  1. Big Simba

    SoC01 Muonekano hutengeneza uwezekano

    FACTS! umeongea vilivyo bora kwa sisi vijana.
  2. Big Simba

    Kimara: Dada wa kazi adaiwa kumnyonga mtoto wa miaka 8

    Duh wadada wa kazi siku hizi wamekuwa na shida sana na matukio ya ajabu ajabu. Ila wazazi piah tuweni makini sana kwenye suala zima la malezi una muachiaje kabsa yani mdada ambaye hata humjui mumejuana tu ndani ya siku chache hivyo amlelee mwanao kiholela holela tu . Unakuta mara nyingi wana...
  3. Big Simba

    KERO Responded TCRA, hawa matapeli wa “TUMA KWA NAMBA HII” tutaishi nao milele?

    Hii ni changamoto inayotusumbuwa kwa kiwango kikubwa sana, ukiwa una fanya miamala miamala ya simu mara kwa mara , au ukiwa unatunza pesa zako kwenye simu kwa hizi pesa pesa. Ukiachana na hizi messages wanazotutumia kuna mda wanafanya hadi direct transfers kutoka line yako kwenda kwenye Bank...
  4. Big Simba

    SoC01 Daraja kati ya Shule, Elimu na Maisha

    Thanks ...! Mchanganuo mzuri , then we have to decide what should be done. Tuondoke apo tulipo .
  5. Big Simba

    SoC01 Muonekano hutengeneza uwezekano

    Asante sana !
  6. Big Simba

    SoC01 Wazazi tuache kuharibu ndoa za wenetu

    Wazazi tuache kuharibu ndoa za wenetu. Mtoa mada uzi ni mzuri ila umeubana sana, yaani unahitajika uchambuliwe zaidi ya hapo . Kwenye suala zima la wazazi kuharibu ndoa watoto wao ni kubwa na lipo katika apects tofauti tofauti , ikiwemo maslahi binafsi ya mzazi au wazazi kwa vijana wao ambao...
  7. Big Simba

    Unaishi vipi na jirani anayependa dezo na kuombaomba?

    Hayo ndio maisha ndugu hakuna mkamilifu kama uwezo wa kumsaidia kila akiomba unao we toa tu . Akuna mtu anapenda kuomba omba , alie kupa wewe ndiye huyo huyo aliye mnyima mwenzio. Kwaiyo ni kuvumiliana tu na kuoneana huruma madhali unacho basi we toa tu.
  8. Big Simba

    Kusaidia Ndugu/familia ni wajibu au lazima?

    Kwenye suala kama hiliinategemea na familia. Kama wewe familia ilikuchangia kukusomesha mpaka unapata kazi , hivyo nawe lazma tu utajikuta upo kwenye hako kamfumo na kwa sababu ulisaidiwa nawe saidia kama uwezo unao. Ila kuna familia nyingine kila mtu na kafamilia kake (nucleur family base)...
  9. Big Simba

    Elimu ya sasa hivi haisaidii mtu kuweza kujiajiri wala haitoi wahitimu wenye sifa stahiki

    Si kweli kabsa kuwa Elimu ya sasa hivi haisaidii mtu kuweza kujiajiri wala haitoi wahitimu wenye sifa stahiki, Kwa sababu inategemea unasomea kitu gani. Sio lazima kila unachokisomea unaweza kujiajiri kupitia hicho ulichosomea , ila tunategemea kutoka kwa huyo graduant kuwa na ufahamu na...
  10. Big Simba

    Man killed for having sex with mother

    Dunia inaenda speed kwelii yaan.... C o kwa haya matukio..
  11. Big Simba

    Wazamiaji kiholela Afrika Kusini warudishwa

    Ila wabongo bana .... Alaf ni vijana na nguvu zao kabsa yaan!
  12. Big Simba

    Serikali iliangalie suala la waswahili kufunga barabara za mtaani kisa sherehe na misiba

    9 Unadhani watu hadi anafunga barabara wana amaua tu wenyewe ? Kila kitu kipo utaratibu wake, na kufungwa barabara hakuja an
Back
Top Bottom