Huyu ndio mwanaume isitoshe amepata na kitoto kizuri pembeni anatuliza moyo.. dada maisha ni timing hapo ameku win before navyovuta Picha ya Bigman najiona mimi hapo ni kurudiana na ndugu na isitoshe ningekua mm hizo Nyumba alizoandika jina lako ningechukulia na Mkopo..! Tena wanaume...
Pole sana homeboy Kule ziwani ni chuo cha Maisha ya wanaume ni kama machimboni tu pole kwa mtihani huo pole pia kwa kuondokewa na mzee Wetu kayuni so kwasasa mishe wapi?
Wadau poleni na hongereni Kwa pilika za maisha ya hapa duniani ,. Nimekuja kwenu Kwa mara ya Kwanza niombe ushauri na mawaO yenu wwnye uzoefu wa magari Nimeetokea kuipenda Sana Toyota Kwa kuanza kumiliki kama gari yangu ya Kwanza Sasa target yangu ilikua kupata alteza lakini hapa nimekumbana na...
Mkuu ufafanuzi kdg sie std7 tunachelewa kujua mengi nilitaka uniambie hiyo treasures ya b.o.t unifafanulie pia na nikitaka kuwekeza njia sake na taratibu zinakaaje?
Nawasilisha
Kweli siasa ni siasa aisee mimi nilikuapo Tunduma wakati Zitto akijiandaa kufanya mkutano akiwa na afande sele ilikua hivi baada ya gari ya matangazo kupita mtaani akiwamo na mwanamuziki Afande sele vijana walijiandaa kwenda mkutanoni wakiwa na mabango ya kumkejeri Zzk jumbe zilikua...
Feedback
Wakuu nashukuru sana kwa maoni yenu na mashauri nilifika jana na nilipitia bank NBC nikawapa taarifa baada ya mda kidogo zikaletwa card zile zinazo mezwa na Atm na yangu ikitolewa maelezo kwamba alikuja mdada wa kati ya miaka 28 to 30 alikua anataka kutoa pesa kwa cachier lakini...
Ni kweli mkuu ila kwa card yangu ni kama nilikosea kwani sikuweza badiri mumber za siri zaidi ya ile ya mwanzo ambayo ni mwaka wa kuzaliwa mimi na kinachonipa shaka ni uwizi kufanyika baada ya mimi na wife kutokuwepo hii inanifanya nihisi ni mtu anae nijua murua kwamba mimi ni nani lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.