Hivi wakijitoa wanaenda wapi. Kama kuna sehemu ya kwenda si waende kuliko kutishia kuharibu ligi. Waende tu. Baada ya mwaka mmoja watarudi tu. Tena kwa aibu .
Yaan kama CHADEMA watamchagua Tundu Antipas Lisu,chances za CCM kuanguka ni wazi kabisa.
Shida itakuwepo kama mzee Mbowe atapita tena. Apo itakuwa CCM imeshinda tena.
FauzaFoxy, wala sio waziri wa afya. Tatizo ni rushwa. RUSHWA. Rushwa ikisha shamiri kila sector inaathirika. Wizi unazagaa kila sector. Makampuni yanashindwa kujiendesha kwa sbb wafanya kazi wanaiibia, bidhaa shindani zinaingia nchini bila kulipa kodi kwa hiyo zinauzwa cheap, bidhaa feki...
Vip kuhusu mambo ya mapenzi, yaan limbwata. Mwanamke anakuloga mpaka hujielewi, unajikuta unatoa tu hela, unampenda lakin ukikaa ukiwaza hata wewe mwenyewe huelewi unashindwa nini kumuacha huyo mwanamke. Dawa ya hii kitu ni niji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.