Huo ni ukweli na wanatakiwa wajitaidi kufanya maendeleo ili wafeze kupata Refference, Lakini msemo wa mwalimu julia nanukuu ''Maendeleo yasipoonekana ndani ya chama Tawala yataonekana nje ya chama Tawala''
hivi kwanini unakuta mtu anasoma yuko darasani mwalimu anafundisha, wewe kama wewe unakuta ni mmoja wapo, ila Mawazo yako hayako pale na wala umsikilizi yaani mawazo yamehama yako nje ya darasa, na unajikuta unawaza mawzo ambayo dah [either unawaza mapenzi,au kuna kitu vingine unawaza...
ni kweli kabisa maaan nashanga kuna na sheria eti mtu akisha maliza kupiga kura akae mita 200 na wakati ni mita mia sheri gani hiyo na ninani ameiweka huko , lengo la CCM kung'ang'ania kutaka madaraka ni kuhuhusiana na katiba iliyopendekezwa itawasaidia kuficha maovu yao waliyo yatenda yeye na...
Nilipofika nyumbani usikuule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshikamkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kulachakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyeshaanaumizwa. Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.