Habari zenu!
Nahitaji gari nzuri ambayo itafaa kwa shughuli zangu za hapa mjini na mara moja moja safari za mbali kidogo. Bajeti yangu ni sh mil 5. (Opa, passo, starlet, gx 100 yyt sizihitaji)
Kipaumbele changu ni gx 110, ipsum, raum. Suala la engine capacity kubwa sio tatizo.
Karibu PM...