Nahitaji gari nzuri. Bajeti yangu ni mil 5 tu

Nahitaji gari nzuri. Bajeti yangu ni mil 5 tu

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
Habari zenu!

Nahitaji gari nzuri ambayo itafaa kwa shughuli zangu za hapa mjini na mara moja moja safari za mbali kidogo. Bajeti yangu ni sh mil 5. (Opa, passo, starlet, gx 100 yyt sizihitaji)

Kipaumbele changu ni gx 110, ipsum, raum. Suala la engine capacity kubwa sio tatizo.

Karibu PM

Call/whatsapp 0755411455

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr. Kwa bajeti hiyo, mimi ningekushauri utafute raum
Habari zenu!

Nahitaji gari nzuri ambayo itafaa kwa shughuli zangu za hapa mjini na mara moja moja safari za mbali kidogo. Bajeti yangu ni sh mil 5. (Opa, passo, starlet, gx 100 yyt sizihitaji)

Kipaumbele changu ni gx 110, ipsum, raum. Suala la engine capacity kubwa sio tatizo.

Karibu PM

Call/whatsapp 0755411455

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa anajiita Master of the game ana uzi wake wa magari mcheki
 
M5 gx 110 na zinazofanania unapata. Ila kuwa makini na gari za mikononi esp za bei rahisi mkuu.
 
Habari zenu!

Nahitaji gari nzuri ambayo itafaa kwa shughuli zangu za hapa mjini na mara moja moja safari za mbali kidogo. Bajeti yangu ni sh mil 5. (Opa, passo, starlet, gx 100 yyt sizihitaji)

Kipaumbele changu ni gx 110, ipsum, raum. Suala la engine capacity kubwa sio tatizo.

Karibu PM

Call/whatsapp 0755411455

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina Alteza hii hapa ya 2005 kama vipi ongeza hela nikupe gari nzr sana
20200103_101916.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww unataka kumfilisi hivi unachezea brevis tank tu litab75 mafuta ya 10,000 hata mshale hauchezi ...lile ni dude jingine ndio maana wengi wanayauza lile linaitwa mnyama

sent from HUAWEI

Bro ulivyoisifia hiyo Brevis hadi raha.😎
 
Back
Top Bottom