Recent content by Biashara zote

  1. B

    Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

    Wako wapi Salim Ahmed Salim,prof mark mwandosya ,dkt bilal,mizengo pinda,comrade kinana hii inaweza kuwa kweli
  2. B

    CCM na siasa za man to man,UKAWA na siasa za social networks

    Poleni Sana Mwaka huu mwafaaaaa...jipeni moyo tu lakini mjue mmechokwaa na mnaosupport haya mambo lazima mnauhusiano na CCM wa moja kwa moja labda MNA peana tenda au baba ni mtuflani CCM au akili zenu tu zimepumbazwa au mmeamua kujitoa ufahamu....ukweli ni kwamba kwa hali ya nchi hii ilivyo...
  3. B

    Kinachomponza Lowassa

    Ndio tushaamua hata asipoongea kabisa nia kuu ni kuondoa utawala wa mkoloni mweusi
  4. B

    Ratiba yangu ya tarehe 25 october.

    Mkuu umenipa raha naomba Sana na Mimi niibe hii timetable yako
  5. B

    Uhusiano wa Lowassa na Kikwete na hatma ya CCM

    Anguko la ccm lasababishwa na urafiki wa kinafiki...
  6. B

    ITV hizo kamera zenu mnazozipiga kijanja zinasaidia nini?

    Subiri dozi ikukolee...ndembendembe,mlalo wa chali , kifo cha Mende bado mwezi tuu na siku chache
  7. B

    Nani anayehusika kutengeneza Message na barua pepe fake dhidi ya UKAWA?

    Nimeoteshwa Ni rais kijana aliepitishwa tano bora sijui kweli
  8. B

    Nyota ya UKAWA yaonyesha alama nyekundu

    Ni ukweli mtupu ndugu.. Jamaa wanaongea vitu visivyo na mashiko yeye mwenyewe tayari hajakamilika amekatwa tayari sio mzima na Kama hajafanyiwa hilo basi Ni wakumuogopa Kama ukoma kwasababu anatatizo kubwa zaid
  9. B

    Nyota ya UKAWA yaonyesha alama nyekundu

    Polee Sana haya yote ni matokeo ya utawala mbovu uliokukuza...kuwa makini unaweza ukatangulia wewe kabla siku hiyo haujaishuhudia Mungu akusamehe hujui ulitendalo
  10. B

    Ukawa: CCM watapelekwa The Hague (ICC)

    Ndio maana tunataka kuutoa mfumo wa CCM uliochangia wewe kuwa na mawazo mgando kiasi hiki
  11. B

    Kutoka Maktaba: Lowassa akisimamia mradi wa maji ziwa Victoria Mwanza-Shinyanga

    Mbona husemi hasara alizoliingizia taifa kwa kukurupuka..
  12. B

    Nyota ya UKAWA yaonyesha alama nyekundu

    Yaani hata mnazidi kutudhihirishia Ni jinsi gani rais mtarajiwa kawashika kunako yaani kawashika pabaya...tumeamua kumkabidhi Lowasa nchi ili tu kuondoa mfumo wa CCM na hill ndio LA msingi hata aingie na drips na machela au wheelchair tumeamua kuachana na mazoea ya CCM ikulu njia nyeupeee...by...
  13. B

    Kwako kuna kura ngapi za Lowassa na UKAWA?

    Tuko 2 na ndio wapiga kura kwangu
Back
Top Bottom