Kinachomponza Lowassa

Kinachomponza Lowassa

Yaaan uwatoe waliowalawiti watoto wetu
Magaidi
Kumfufua balali eti kisa mpambe wake anamiiliki kanisa la ufufuo na uzima?

Ndo unataka tukuchague?

Rubbish

Lowasa anawaambia wakazi wa bukoba kwamba atawasaidia kupata soko la kahawa huko Rwanda na Burundi
Wakat dkt magufuli anaahidi kuleta viwanda ili wakaz wa bukoba

Nan mwenye akili zaid
Kama sio magufuli
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kuna jamaa alikuwa anapiga push ups Karagwe,amesahau anaomba kura ya kuwa Rais.Ama anadhani urais ni kama kuwa Baunsa wa Twaweza?

Naona imewashika sana hiyo ya push up.. Si mmwambie na mamvi apige au mnahofu? Mnaweweseka sana mwaka huu.. Tehtehteh.
 
Ha ha haaaaaaaa! SIJAWAHI KUONA WATU HOPELESS KAMA SISI WANANCHI, MIAKA YOTE HIYO 50 NA USHEEE BADO UNA NG'ANG'ANIA UMASIKINI?
 
Sijaona cha kushangaa hapo
Kushindwa kwa wengine sio sababu ya magufuli kushindwa
Na hakika anavyovisema atavifanya ni mtu wa kazi
Whether ukubali au ukataye
Hapa kazi tu
Magufuli ndio rais na sera zake atatimiza
 
  • Thanks
Reactions: nao
Maelfu ya wakazi wakiwa wamefurika kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
 
Mzeee wa chato cjui kwann anagombea huyuzee mwacheni akapumzike October
 
Kama babu seya kafungwa kwa hila na masheikh wa zanzibar waletwe bara kwani zbar hakuna mahakama pia ugaidi gani walioufanya kama wao walikuwa wanatumia katiba ya zanzibar na wakawa wanazungumzia zanzibar ipewe uhuru wake wa kujiendesha wenywe ndio ugaidi au na wengi wamesema na wanasiasa wa zanzibar kina mansour yusuf himidi na mh hassan nassor moyo kuwa zanzibar inataka mabadiliko ipewe haki zake kama nchi
Mbona wao hawajakamatwa na wakitwa magaidi?
 
Tatizo si lowasa ila tatizo ni wewe kushindwa kumuelewa mzee ngoyai yeye kasema ataangalia utaratibu wa kisheria kuhusu hizo kesi ambazo wengi wanahisi wameonewa, wewe huwoni kuwatoa wale mashekh znz na kuwaleta huku magerezani ni ukiukwaji wa haki?
 
Ahadi zisizotekelezeka. Madini makubwa makubwa huyu mzee tatizo anaugwonjwa wa kusahau atasahiv kasha sahau kuwa anagombea urais

The man is a dying horse. Kweli Mbowe kachota choo na kukiweka kitandani. Aturudishie Dr Slaa wetu.
 
Sijaona cha kushangaa hapo
Kushindwa kwa wengine sio sababu ya magufuli kushindwa
Na hakika anavyovisema atavifanya ni mtu wa kazi
Whether ukubali au ukataye
Hapa kazi tu
Magufuli ndio rais na sera zake atatimiza

Naunga mkono lkn tutampa wakati mgumu kwa kumjazia upinzani bungeni.
 
Lowassa siwezi kumpa kura yangu ntakua napoteza muda, Magufuli ndo kura yangu!!!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sijaona cha kushangaa hapo
Kushindwa kwa wengine sio sababu ya magufuli kushindwa
Na hakika anavyovisema atavifanya ni mtu wa kazi
Whether ukubali au ukataye
Hapa kazi tu
Magufuli ndio rais na sera zake atatimiza

Maguf ni mwepesi ndani ya mfumo wa ccm. Nini kilimzuia kubomoa ghorofa LA TANESCO?

Hawezi kwenda kinyume na chama chake na ALIAHIDI kuyaenzi yote ya waliomtangulia, means hakuna MABADILIKO
 
Mikakati ya miaka 50 ya ccm imeua kila kitu. Kuanzia viwanda mpaka reli mpaka elimu mpaka maisha ya watu.
tunataka ccm wapishe wamechoka kufikiri.
Lowasa anatoa sera na mikakati. Kila kitu kipo kwenye ilani.
Sasa hatusikilizi porojo zozote za ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom