Recent content by Bi nyakomba

  1. Bi nyakomba

    Mimba inaweza kutunga siku ya 16 baada ya kumaliza hedhi?

    Nilifanikiwa ndugunyangu, mwaka 2014, ila bby alipofikisha umri wa miezi 8, Mungu akampenda zaidi
  2. Bi nyakomba

    Wameshafariki watoto wawili , sasa anadai ana mimba tena! Msaada!

    Pole sana ni mipango ya Mungu, hakuna anaependa kupata matayizo kama hayo, ila ikitokea wanasema shukuru kwa kila jambo. nimepitia hali kama hiyo najua unabyojisikia pole sana
  3. Bi nyakomba

    M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

    Hongera mpendwa mie bado
  4. Bi nyakomba

    M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

    Hivi kisheria haki ya mteja ni ipi kwa kupewa psychological toucher kama hii.
  5. Bi nyakomba

    M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

    Poleni sana mliokumbana na dhahama ya Mpesa kama Mimi. Daah sirudii tena kutumia huu ushuzi sijui Vodapesa
  6. Bi nyakomba

    M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

    Yani Vodacom nalo ni Jipu. Daaah mie nimeambiwa Massa 72 Mkuu mpaka Leo haijashughulikiwa Imagine
Back
Top Bottom