Inasikitisha : Wanandoa walishwa sumu baada ya kaka mtu kula hela za ujenzi wa nyumba.

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,689
22,703
Inauma,hawa ni wanandoa wanaishi nje kikazi wamekusanya pesa huyo mume akawa anamtumia kakaake awajengee nyumba.

Kweli kaka akawatumia picha ya mjengo unaofanana pesa waliotuma wakaona warudi kula cmass &mwakampya ktk nyumba yao.
Akawapokea wakafika kwanza kwa kaka akawaandalia chakula alafu wapumzike labda kesho awapeleke.kumbe kawawekea sumu.

Walipolala ndio jumla hawakuiona hata nyumba yao.
Ahh pesa ni janga


As received through WhatsApp group!
 

Attachments

  • IMG-20170106-WA0011.jpeg
    IMG-20170106-WA0011.jpeg
    17.4 KB · Views: 48
Inauma,hawa ni wanandoa wanaishi nje kikazi wamekusanya pesa huyo mume akawa anamtumia kakaake awajengee nyumba.


K weli kaka akawatumia picha ya mjengo unaofanana pesa waliotuma wakaona warudi kula cmass &mwakampya ktk nyumba yao.



Akawapokea wakafika kwanza kwa kaka akawaandalia chakula alafu wapumzike labda kesho awapeleke.kumbe kawawekea sumu.


Walipolala ndio jumla hawakuiona hata nyumba yao.


Ahh pesa ni janga




As received through WhatsApp group!View attachment 455079
Kitendo kiovu sana.
Ila mkuu kumbuka kuwa ni makosa kurusha picha za maiti katika hali isiyo na staha.
 
Back
Top Bottom