M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

Mimi kichwa kinauma, nimetransfer pesa kny account yangu. Leo siku ya 4 haijaingia kny account yangu na kny M-pesa account wameshaikata.
Kwa kuwa limenitokea Mara Mbili ndani ya wiki 2...nimekoma kurudia hii huduma. Nimepata hasara kubwa sana
 
Katikati ya voda, Benk, Tanesco na makampuni mengine yanayolipiwa kwa mpesa kuna kikampuni ambacho ndicho kinafanywa Kama "basket fund" sasa jiulize wanatakiwa wawe na kiasi gan cha pesa kuaccomodate mihamala ya watu wote....kwanzia mnunua vocha mpaka anaehonga milion na wanaolipia Ada na kadhalika. Kumbuka kuwa Benk hazifanyi kazi siku za sikukuu, kwa hiyo Kama hela itaisha kwenye hiyo basketi Yao...tegemea mhamala wako utawekwa kwenye foleni. Wataongeza pesa, watashugulikia mihamala iliyopo kwenye pipeline, mpaka wako ufikiwe. Hapana fanya mhamala long weekend. Basket fund ni maskini mwenzetu.
 
Hapana fanya muhamala siku za sikukuu au long weekend. Utalia.
Mkuu tarehe moja mwezi wa7hakukuwa na siku kuu nashukuru nimezama the now now huko twitter kwenye page Yao nikawapa Makavu dakika hii wamenipigia the Naona wameniambia mpk Saa 8 muamala haujarudi nikacheki tena twitter.. Mie naweza kuingia twitter, je big mkubwa pale kijijini?!
 
Sio wewe tu na mm pia hii ni wiki ya tatu sasa naambiwa net wark, mbona tadhali nipigie inaenda na kuingia kwenye simu zetu?
 
nimetuma muamala toka tarehe 2 mwezi huu, mpk Leo pesa haijaingia kwenye akaunti. mmefanya sikukuu kwangu umekuwa chungu. Halotel hivi MNA halopesa?
Mpesa Simbanking ya CRDB ogopa sana. Ukipiga simu huduma ya wateja CRDB wanakuambia usikate simu harafu mazima hadi simu yao inakata automatic, unapiga tena ukijipa matumaini kuwa ni mtandao, wanakuambia tena subiri usikate simu harafu mazima
 
3G914GRZ4Z Confirmed. Your M-Pesa balance was Tsh88,967.00 on 9/7/16 at 2:02 PM.



Finally wamenirejeshea mpunga wangu baada ya kuwatangazia vita
 
3G914GRZ4Z Confirmed. Your M-Pesa balance was Tsh88,967.00 on 9/7/16 at 2:02 PM.



Finally wamenirejeshea mpunga wangu baada ya kuwatangazia vita
Dawa yao ni kupambana nao twitter and Facebook... Mi nilitumia twitter ndani ya 2 day wakarudisha.. Issue inakuja kwa wale majority ambao hawajui twitter au Facebook... It's horrible
 
Hawa mpsa wamekuwa wezi tna naweza kusema ni majambazi nilifanya malipo kwa mpsa kwenye kampuni ya mobisol cha ajabu ikaingia mpsa malipo nikawataarifu wakanijibu ni makosa ya mtandao kwahyo watanirudishia pesa ndani ya 7day.siku7 imeisha hawajanirudishia nikawajulisha wakaniambia subiri tna siku7 imeisha tna 7 nyngne leo nimemaliza mwezi bdo tu longolongo.vodacom pls muwe waungwana hali ya maisha sahv ni ngumu magufuli amebana pesa.
 
Pole pia
Lakini jibu ni kuwa wale wanao pokea simu huwa wanawasilisha tatizo na watatuaji ni wengine ambao ukisema tatizo wanakuambia tunalipeleka idara husika ndani ya masaa..... utajulishwa (sasa wale idara husika ndio team doroooo) iwe umelipa bill kimakosa,umetuma pesa kimakosa
vodacom huduma yao ya m pesa ni mbovu nimewahi kununua luku imerudi meseji baada ya siku tatu , ukipiga customer care ni kero haipokelewi kwa wakati. Tigo pesa wanajitahidi muamala uishindikana pesa inarudi hapo hapi na ukinunua luku meseji inaingia hapo hapo
 
Back
Top Bottom