Recent content by BI KIREMBWE

  1. BI KIREMBWE

    Revealing: Tanzania's Escrow account scandal (CODED message)

    Magnificent humorous representation of the IPTL Saga,simply great!
  2. BI KIREMBWE

    Prof. Kikwete aenda Marekani

    Duh aisee...yaani natamani hiyo ndege anayoipanda isipatikane tena kamwe!
  3. BI KIREMBWE

    William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)

    ....kwa kweli nimemsikiliza huyu mwenzangu na nimemuonea imani. Kama ni kweli anafanya haya mambo kwa ajiri ya rizki yake basi mwacheni jamani. Kila mtu atatoka kwa staili yake na usiogope kujaribu!Tofauti ya hapo ningesema Jamaa ana matatizo makubwa sana ya kisaikolojia kama mtoto wa kiume. Ila...
  4. BI KIREMBWE

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    Usually I don't react well to threats...but with u I will make an exception. He is my President too am entitled to criticize his leadership and there is nowhere I have insulted him,read comments don't just use your emotions you fool!
  5. BI KIREMBWE

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    JK yupo casual kweli kwenye masuala ya sheria na taratibu za kiutawala,ni juzi tu hapa alituhumiwa kwenda kumsalimia mfungwa wa EPA hospitali!!!!!
  6. BI KIREMBWE

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    No No No No....Shame on JK and his Brigade Commander ADC!!!!!
  7. BI KIREMBWE

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    Asante kwa kuleta mada nzuri sana,nami nililiona hilo nikastaajabu sana,Brigade Commander kuwa ADC hakumdhalilishi yeye tu bali muundo mzima wa jeshi. Brigade moja tu inatosha kuanzisha vita baina ya nchi na nchi,chini ya brigade Commander!Ni pale tu itakapozidiwa ndio tunapeleka re-enforments...
  8. BI KIREMBWE

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    Kuitetea CCM kwa sasa ni lazima uwe na akili za mwendawazimu!La kuvunda halina ubani, dawa yake ni kufukia shimoni tu!Ni afadhari mnyamaze kimya na huo ufirauni wenu kuliko kuendelea kutupandisha jazba huku mitaani!!!CCM ni kama laana ya nchi hii,vijana wengine tuko tunafanya sala za toba kila...
  9. BI KIREMBWE

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    Umenena vyema sana mkuu,nashukuru Mungu bado tuna vijana wenye busara kama wewe hapa tz
  10. BI KIREMBWE

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    Kwiiikwiiiikwiiiiii......mbavu zangu mie.....hahahaaa.. Ndyali umeua...lol
  11. BI KIREMBWE

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    we kama mimi aisee, ni bora kujiunga RPF Kuliko CCM, we waache waendelee na dharau zao, siku tukiingia msituni ndio wataelewa ndoto zetu ni zipi
  12. BI KIREMBWE

    Rais Kikwete, Kutembelea Mfungwa na Mwizi wa EPA Kunatia Shaka

    I think this is official, Kikwete ndiye Raisi dhaifu kuliko wote waliowahi kuiongoza nchi yetu,hilo nadhani mpaka sasa halina ubishi!!!
  13. BI KIREMBWE

    Rais Kikwete, Kutembelea Mfungwa na Mwizi wa EPA Kunatia Shaka

    hahahaaa...yaaaaani nimechekaje,msumari kaka..lool!
  14. BI KIREMBWE

    Hawa ndiyo wenye CCM, wengine endeleeni kupiga domo!

    Aisee we kama mimi kwa kweli,sijui ni lini tutapata viongozi majasiri watukusanye msituni tusake ukombozi wa kweli,yaani hizi siasa hazitupeleki kokote, nishachoka kabisa:target:
  15. BI KIREMBWE

    Jamhuri: Pinda agongana na bilionea Dar!

    Aisee ni lazima vijana tumshughulikie,tunajua polisi hawatafanya lolote,tunawaomba watuekee picha tu ya huyo ALLY Awadh baaaasi,watuachie sisi!
Back
Top Bottom