Naweza nikatumia lugha ya uongo maana ndio maana halisi endapo mtu atashindwa kutekeleza lile aliloliahidi.
Lengo la post hii sio kulichafua shirika lolote lile ila ni kuwakumbusha tu kuwa wasiwachukulie poa vijana wanaowapa kazi.
Mfano mzuri leo hii nitayazungumzia mashirika mawili WATUMISHI...
Hongera muandishi kwanza umetumia lugha safi kabisa ya kiswahili fasaha Cha pili andiko linafutia kulisoma . Cha tatu umeandika njia za kutatua tatizo kiufupi hongera sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.