Recent content by Bhikukalala

  1. B

    2020 Magufuli atapata kura za vijijini na si mijini

    mkishindwa kujibadili fikra wenyewe ndani ya akili na mawazo yenu, hata aje obama Tanzania itabaki vile vile
  2. B

    Nauza simu yangu nipate hela ya kujikimu

    Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza hali imezidi ngumu sana nimeshindwa tu kuomba lakini nahitaji msaada wenu nauza simu yangu aina ya sSamsung s4. Nimeitumia mda wa mwezi mmoja. Nahitaji nilipe hostel na kuendeleza maisha hapa chuoni nimepata dharura. Namba yangu ni 0629267334..
  3. B

    Epukeni bidhaa za Game Mlimani City!

    I wish hii forum ingekuwa na like button, we get 2 knw many thnz that the gvt have kept quite abt them,.! Alafu miji2 mingine inackia raha gani kununua shati la 100,000 kama s.africa ni sh.10000, huo c ufahari bt ulimbukeni ona sasa mnaibiwa! Alowaambia kuvaa nguo za bei ndo kila k2 ni nani...
  4. B

    Jane Mponzi wa Vodacom is no more!

    its true, watu hawajui background ya m2 wanaropoka 2. RIP dia sis..
  5. B

    Matokeo kidato cha nne yamechakachuliwa

    Wasemaji wa taifa wamezidi kuwa wengi. Watu wanatunga habari utadhani walikuwepo kwenye usahishaji. Siku zote kauli ya mwisho ni ya kiongozi husika katika masuala hayo na siyo laymen. Tusikurupuke na kutoa taarifa za uongo itawacost sana hasa katika issue za kitaifa.
Back
Top Bottom