Maswala yote yahusuyo corona na hili la kuingia uchumi wa kati kutangazwa muda mfupi kabla ya uchaguzi imekoleza sana umaarufu wa Magufuli. Magu sio level za akina Mbowe na Zitto, wapinzani msitegemee kuambulia chochote october. Magu hana nia ya kuongeza muda though personally ningetamani afanye...
Umavi mwingine bna, fanyeni kazi vijana mzalishe., tamaa zitawatoa roho. watakaopigwa nao walewale, wanataka watembee juu ya ganda la ndizi, wapgwe tu hakuna namna.
Uko resi sana mkuu, kaa tulia tafakari kwa kina., unapopata wazo jipya akili ina desturi ya kujimwambafy due to over excitment. boresha wazo lako kwanza, umewaza ki analogy zaidi dunia inakotoka, ni sawa na anaewaza kutembeza magezeti in hardcopy, wakat platform ipo kuuubwa online.
Huyo bado hajafeli kama personally haja admit his own failue., wanasema hata Roma haikujengwa ndani ya siku moja, unaemdharau leo, utamsalimia kwa heshima. it takes time to build a fortune.
Presha wanayokupa watu waotamani kuona umefanikiwa ndio mara nyingi inayowakatisha tamaa vijana wengi...
Utakua ulipitiwa mlango wa nyuma na mnyiramba ww na wambulu mnavogawa K ovyo kitaa kuna walakini. sio kwa chuki hizo ulizonazo dhidi yao. Alafu usichekeshe umati hapa, uko kwenu manyara kuna nini cha ziada knachokufanya ulete chuki zako za kikabila? Usituharibie tz mkuu, kosoa bila kuingiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.