We zuzu na vuvuzela wetu kimada..unajuaje kama msigwa alikua anazungumzia posho ya makalio??? Maana hajsema kama ni posho ya makalio!! Wew ni mke wake au umbea tu unakusumbua???!! Mada yako yenyew hujasema ni posho ipi!! Achaga kukurupuka basiii..usiige kina pasco au mzee tupatupa..utachanika...
Hurraaaaaay Msigwa..bora uwe mkweli aseeeeee!!! Kama vp kuondolewa kwa posho kue fair yaan kuanzia rais mpk walimu na gambas ni wahuni wallahi..wanajifanya hwatak posho ya makalio ila ile posho nyingne kubwakubwa hakuna anaesema wote wanamute!!!
Hyo hataa abomolewe pa kukaa hakosi,,,wananchi wa hali ya chini ndo wanaisoma namba!!! Nkajua ni nyuma anayoish now kama ndo anajenga ana shida gni ss?? Na kiinua mgongo cha uwazir mkuu bado anacho???
Hilo ni jamvi la Mbowe la wala si habari!! Eti ayumbisha dola, si heri yye imeyumba kuna mswahili mmoja kaizamisha kabisa dola ila hawamuoni!!! Watakua walimtong*za Mbowe akakataa c bure
Hilo ni jamvi la Mbowe la wala si habari!! Eti ayumbisha dola kuna mswahili mmoja kaizamisha kabisa dola ila hawamuoni!!! Watakua walimtong*za Mbowe akakataa c bure
Anajitahid kweli ila tu awe ana ban matumzi..hayo makamera, nauli na waandishi wa habari anaozunguka nao ni shidaaaa!!!! Ajifunze kupiga selfie na wagonjwa na matabibu!!! EKOTITEEEE
Mtanzania miaka yote analima sshv hakuna atakae vumilia kulala njaa!! Watu washachoka..Magufuli akitaka afanye ziara mpk Mbugan ila people want to eat!! Kama hakumuelewa Hashim Rungwe basi tena!! A hungry man is an angry man!! Akusanye tu hizo tilion ila at end of the day watanzania wanatakaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.