Recent content by Bexb

  1. Bexb

    KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Hasa Kisota, Kibada, Geza hadi Mwasonga na Mwongozo ni 🔥🔥🔥
  2. Bexb

    KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Mkuu mimi sio dalali. Hiyo bei ni ya mwenye kiwanja, na ukihitaji hicho kiwanja nitakukutanisha na mwenyewe mmalizane
  3. Bexb

    KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Najaribu kuweka picha lakini nashindwa. Mtakaohitaji picha na video tafadhali Whatsapp 0755963775
  4. Bexb

    KIWANJA KINAUZWA KIPO KISOTA KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

    Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa 🔥Kina ukubwa wa square metres 597 🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau. 🔥Kina hati ya wizara 🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa. 🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
  5. Bexb

    Pikipiki ya honda maji inauzwa Tsh600,000. Chombo haina shida

    NimekuDM hujajibu, bado hiyo pikipiki ipo?
  6. Bexb

    Nahitaji kufahamu zaidi ya maswala katika uendeshaji biashara chini ya kampuni

    1. Kwa TRA (PAYE na SDL) utakua na options ambaoo ni either uwasilishe zero return kwa paye kwa maana ya kuwa huna mfanyakazi ama uwasilishe 'director fee' hii ni PAYE inayokatwa toak kwa mkurugenzi mfaanyakazi wa kampuni. 2. Kuhusu NSSF na WCF. Hizi pia utawasilisha kulingana na ulichofanya...
  7. Bexb

    Nahitaji kufahamu tofauti kati Certificate of registration for Taxpayer Identification Number na Service levy

    Kwa nilivyoelewa swali lako 1. Certificate of registration for TIN ni kile cheti cha usajili wa mlipa kodi yaani cheti cha TIN inaweza kuwa Business TIN ama non-business TIN 2. Service Levy. Huu ni ushuru wa huduma ambao hulipwa katika halmadhauri nadhani huwa ni 0.5% ya mauzo kwa kila robo...
  8. Bexb

    Msaada: Je, Tanzania kuna Trust Funds

    Inawezekana kabisa mkuu. Usajili wake unafanyika RITA
  9. Bexb

    Anahitajika muhudumu wa ofisi mwanamke

    Tangazo lipo wazi mkuu kulingana na wahusika wanachotaka
  10. Bexb

    Anahitajika muhudumu wa ofisi mwanamke

    Asante kwa maoni mkuu, karibu.
  11. Bexb

    Anahitajika muhudumu wa ofisi mwanamke

    Nitafikisha maoni mkuu. Asante
  12. Bexb

    Anahitajika muhudumu wa ofisi mwanamke

    Habari ya jioni wakuu. Natoa tangazo hili kwa niaba ya kampuni inayomilikiwa na wageni wa kutoka China, inayojihusisha na huduma za utengenezaji magari iliyo na ofisi zake Mikocheni, industrial road jirani na TPDC. Anahitajika muhudumu wa ofisi kwa ajili ya kufanya majukumu yafuatayo: 1...
Back
Top Bottom