Habari ya wakati huu wakuu. Naomba kuuliza utaratibu wa kuingiza viuatilifu yaani madawa ya kilimo kutoka nje ya nchi. Ninataka kujua mamlaka na vibali vinavyohitajika kabla ya kuleta bidhaa hizo
Habari ya sikukuu wakuu. Kiwanja kinauzwa
🔥Kina ukubwa wa square metres 597
🔥Kinapatikana KISOTA BLOCK 3 Mtaa wa nyuma ya barabara ya Dr Dau.(Ni mtaa ulio oposite na nyumba ya Dr Dau.
🔥Kina hati ya wizara
🔥Ni corner plot yaani kinatazama barabara mbili za mtaa.
🔥Hakina mgogoro wowote kinauzwa...
1. Kwa TRA (PAYE na SDL) utakua na options ambaoo ni either uwasilishe zero return kwa paye kwa maana ya kuwa huna mfanyakazi ama uwasilishe 'director fee' hii ni PAYE inayokatwa toak kwa mkurugenzi mfaanyakazi wa kampuni.
2. Kuhusu NSSF na WCF. Hizi pia utawasilisha kulingana na ulichofanya...
Kwa nilivyoelewa swali lako
1. Certificate of registration for TIN ni kile cheti cha usajili wa mlipa kodi yaani cheti cha TIN inaweza kuwa Business TIN ama non-business TIN
2. Service Levy. Huu ni ushuru wa huduma ambao hulipwa katika halmadhauri nadhani huwa ni 0.5% ya mauzo kwa kila robo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.