Nafikiri wazee wetu walikuwa na busara kuzuia Watoto kuongea kwenye mijadala ya watu wazima.Nafikiri kwenye huu mjadala wewe ni mtoto ni vyema uwaachie watu wazima wajadili.
Una uhakika.Nenda mwenyewe Rombo kajionee Acha kusikiza ya vijiwe.Kati wilaya zenye maendelea katika maeneo ya vijijini Rombo ni mojawapo.Kuanzia makazi, shule na maisha kwa ujumla .Kuhusu Mtwara nanda pia kashuhudie uloyqsikia halafu rudi utoe hitimisho.
Acha niungane na saliva.wewe ni kiazi maana una macho ila huwezi ona na una moyo ila huoni maumivu ya wengine.Narudia sikui ila wewe ni sawa na kiazi yumkini unahusika na maumivu ya sativa
Hayo matukio hafanani kwa namna yoyote na tukio la Lissu.Kwa mujibu wa LIssu tukio lilifanywa kimkakati kabisa likiratibiwa na watu wanaoiwakilisha serikali wakishirikiana na wavujisha taarifa aka TIGo,ila hayo uloyataja ni ya ghafla tu watu wamepatq mhemko wakatenda mfano hao askari unaodai...
Kuwa na knowledge nusu nusu ni mbaya kuliko asiye nayo kabisa.Hivi unaweza leta hilo andiko linalosema hayo maneno yalitumika baada ya mtu kutaka kumzika mtu wa dini nyingine?
Inatemegea.Kama alizikuta kampuni na akaajiriwa kama staff akawa analipwa mshahara na stahiki zake,kugawana itakuwa utata manake hata mshahara wake itakuwa wagawane.Nafikiri wanasheria wangeweza kutuelezea vizuri inakuwaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.