Recent content by Betterhalf

  1. Betterhalf

    Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

    Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatekeleza ilaninya CCM ya 2020-2025. Tumuunge mkono.
  2. Betterhalf

    Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

    Is this what we call hypocrisy or not? Kusema haya yanayozunguka sasa hivi wakati Hayati hawezi kujitetea, kwangu mimi ni jambo linalonipa mashaka kuamini na kukubali.
  3. Betterhalf

    Huu ni wakati wa kumpa timu ya taifa Herve Renard

    Habari za leo wadau, Timu yetu ya Taifa yaani Taifa Stars imeanza harakati zake kwenye mashindano ya AFCON 2024 nchini Ivory Coast. Tumeanza kwa kupoteza mbele ya timu bora Afrika na Wana Nusu Fainali wa Kombe la Dunia mwaka jana. Pamoja na mambo mengine, lakini sehemu ambayo kama taifa...
  4. Betterhalf

    Mtazamo wangu: Simba tusimame haraka

    Tushauri tuweke neno gani?
  5. Betterhalf

    Mtazamo wangu: Simba tusimame haraka

    Tumesema tayari.
  6. Betterhalf

    Mtazamo wangu: Simba tusimame haraka

    Ahsante sana kwa maoni yako.
  7. Betterhalf

    Mtazamo wangu: Simba tusimame haraka

    MTAZAMO WANGU: SIMBA TUSIMAME HARAKA Habari wadau. Poleni sana kwa mwenendo usioridhisha kwenye michezo miwili ya ligi kuu ya NBC. Tumeumia, tumehuzunika sana, lakini nashauri kwamba iwe IMETOSHA. Game za derby hizi, wachezaji/timu zinatumia energy kubwa mno. Kwa hiyo, ni ngumu mno kuwa na...
  8. Betterhalf

    Biashara ya simu na vifaa vyake kutoka China

    Ngoja tuone...hii iwe sababu ya wenye ndoto ya biashara hii tuweze kupata fursa ya kuifanya hii biashara.
  9. Betterhalf

    Biashara ya simu na vifaa vyake kutoka China

    Sawa mkuu,tusubiri wajuzi waje kutushauri.
  10. Betterhalf

    Biashara ya simu na vifaa vyake kutoka China

    Wadau,Bado nipo hapa kuomba mawazo yenu kuhusu huu Uzi wangu.
  11. Betterhalf

    Car4Sale Tunauza Magari aina mabalimbali

    Mmiliki wa awali ni mswahili au Muhindi?
  12. Betterhalf

    Biashara ya simu na vifaa vyake kutoka China

    Hello, habari wana jamvi. Nina ndoto ya kufanya biashara ya kuagiza ama kwenda kununua mzigo China hususan simu na vifaa vya simu. Naomba kujua na kupata ushauri wenu, nahitaji; 1. Mtaji kiasi gani? 2. Gharama za safari (kama itanilazimu kusafiri) 3. Itanichukua muda gani aidha nikisafiri ama...
Back
Top Bottom