Recent content by betnel

  1. B

    Unamfanyaje huyu mume anayehitaji faraja baada ya mchepuko wake kufariki dunia?

    Hahahaaaaa nitamfariji tu kuwa atapata Mchepuko mwingine asijali
  2. B

    Kama Rais hana huruma na Mtanzania na anasema waziwazi; Je, sirini ni yapi anayaagiza juu ya Raia?

    Mimi nimeelewa kuwa walime wapate chakula chao, kwani kule gerezani si kuna maeneo na huwa wanalima Yale mazao yanaenda wapi?
  3. B

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    Mungu mponye spika wetu arudie afya yake aje alitumikie taifa
  4. B

    Tibaijuka: Ukiona watu wanahangaika na mavazi ya mwanamke ujue wana matatizo yao

    Kwa ni sawa tu kutembea uchi, zama zinabadilika jamani lazima MTU ukubali mabadiliko
  5. B

    Nakupenda sana mke wangu (miaka 3 katika ndoa)

    Hongera zidisha upendo
  6. B

    Afande Sele amjia juu Mpoto, adai kutomsema marehemu kumepitwa na wakati

    Huo ni upuuzi mtupu kwa nini usingemuonya alivyokuwa hai , eti Leo unajifanya unafunguka huo ni unafiki mkubwa, huna lolote
  7. B

    Afande Sele amjia juu Mpoto, adai kutomsema marehemu kumepitwa na wakati

    Huyu kaka sio mstaarabu hata kidogo yaani, alikuwa wapi kumwambia alipokuwa hai? Haya leo hii anaongea huyo marehemu anasikia?
  8. B

    Waziri Mpango: Rais Magufuli amenipigia simu kuhusu michango ya Bashe na Nape Bungeni

    Nimeamini hakuna dhamana kwa binadamu kwake vyote ni ubatili mtupu
  9. B

    Wasipomdhibiti kwenye chama chake, watanzania tutamdhibiti

    Hakuna wa kumng'oa wewe,
  10. B

    Kwa style hii single mother wataongezeka maradufu!

    wewe ni mtu wa ajabu kutokea duniani una pepo la uzinzi usipobadilika utaangukia pua
  11. B

    Msaada: Mzazi mwenzangu ameniganda au kuning'ang'nia

    Tatizo nini kwani ulilazimishwa kuwa nae mpaka ukazaa nae? Sio vema kabisa kumbuka huyo malaika hana kosa lolote, Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    Ndege mpya ya Askofu Gwajima aina ya Gulfstream N60983 (Business jet)

    Napita tu, Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom