Recent content by beth

  1. beth

    Sukuma Land Gold Field

    Kwa hiyo hapo mtu akitaka kuwekeza utaratibu wake upo Mkuu? Kwa ufupi tu
  2. beth

    Unaujua wimbo wa Kasongo! Je, unamjua Kasongo na kwanini wimbo huo uliandikwa?

    KWANINI "KASONGO" ILITUNGWA. Jina lake halisi aliitwa Kasongo wa Kanema, aliyekuwa Mwanamuziki Mkongwe wa Congo ambaye alihamia Nairobi na kufariki huko miaka minne iliyopita (Aprili 15, 2020) na kuzikwa kwenye makaburi ya Lang'ata. Alikuwa sehemu ya kikundi cha wanamuziki wa Congo waliohamia...
  3. beth

    Nini kimemkuta Waziri wa zamani na Wakili Msomi, Lawrence Masha hadi kufika kwa “Kiboko ya Wachawi”?

    Nini kimemkumba Lawrence Masha? Nimeshangaa sana kukutana na hii video ikizunguka mtandaoni eti yupo kwa huyu anayejiita Pastor, Kiboko ya Wachawi sijui. Naelewa kwenye maisha kuna kupanda na kushuka lakini inakuwaje mtu msomi kama Masha mwenye Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kutoka Kituo...
  4. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Asante kwa jibu lako zuri Tui
  5. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Dah Mkuu, si ningekua nishazitafuna zamani kama shida ni umasikini
  6. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Laki 2 mbona ndogo tu jamani
  7. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Asante sana Nifah kwa ushauri huu
  8. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Sio hivyo nahitaji msaada wa namna nishughulike na hili swala
  9. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Hawezi kuwa ameunganisha na kodi maana muda wa kodi bado sana
  10. beth

    Nifanyeje? Naona mtihani huu

    Habari za muda huu Wakuu, Wakuu mimi leo nina swali hapa maana nimekutana na kitu nimeshindwa kuelewa cha kufanya. Nimemwomba mpenzi wangu shilingi 50,000 ila akasema hana na ana 20,000/- hivyo ananitumia lakini katika kutuma amenitumia 200,000/- 😊 Unashauri nifanye nini?
  11. beth

    Papua New Guinea: Hali ya hatari yatangazwa Mji Mkuu baada ya maandamano na uporaji kutokana na kupanda kwa gharama za maisha na malipo finyu

    Papua New Guinea imekusanya vikosi vya usalama baada ya uporaji na ghasia nchini kote. Ufinyu wa ajira na kupanda kwa gharama ya maisha kumezua hali ya kufadhaika katika taifa hilo la Pasifiki Kusini Waziri Mkuu wa Papua New Guinea James Marape alitangaza hali ya hatari ya wiki mbili katika mji...
  12. beth

    Kuongezeka kwa Ujenzi wa Vituo vya Mafuta kwenye makazi ya watu Serikali inasubiri ya Morogoro yatokee ndio ichukue hatua?

    Naona umekurupuka kujibu bila kusoma, kuelewa na kutafakari. Uhusiano hapo ni idadi ya vifo vinavyoweza kutokea kwenye majanga ya mafuta na moto. Soma elewa, urikurupuke na kuropoka Mkuu
  13. beth

    Kuongezeka kwa Ujenzi wa Vituo vya Mafuta kwenye makazi ya watu Serikali inasubiri ya Morogoro yatokee ndio ichukue hatua?

    Vituo vya Mafuta vinajengwa kila sehemu hadi kwenye makazi ya watu. Kwanini Serikali inatoa vibali kwa sehemu hatarishi? Kuna vituo vingi sana vya mafuta vinajengwa katika maeneo hatarishi kwa jamii na Serikali sijui inaridhia ujenzi huu kwa namna gani? Sijui kwanini haifikirii? Nakumbuka...
  14. beth

    Siku ya Mazingira Duniani (Juni 05): Tumeshindwa kabisa kudhibiti uchafu wa taka za plastiki?

    Maadhimisho ya Siku hii hufanyika kila Juni 05, na kwa mwaka 2023 yanaangazia zaidi Uchafu wa Mazingira unaotokana na Taka za Plastiki, na jinsi ya kukabiliana nao Zaidi ya Tani Milioni 400 za Plastiki zinatengenezwa Duniani kila mwaka. Inakadiriwa kuwa, Tani Milioni 19 hadi 23 huishia...
Back
Top Bottom