Nakumbuka mwezi mmoja kabla sijamaliza chuo nilienda bank moja kuomba kazi kqa vile nilifanya field pale nikawaambia nitajitolea bure ila walikataa. Wanajua sheria inakataza na kwa lugha ya kizungu tunaweza sema a modern slavery mode activated in a smarter way. Namshukuru mungu pia kwa kunyimwa...
utakosaje kazi kama umesomea kazi?
Mkuu unajua unaloliandika ???? Umekunywa viroba asubuhi ???? Ina maana kama umesomea kazi huwezi kukosa kazi ??? Mbona unaongea utumbo mkuu hapa kwa great thinkers ???? Si uende kule kwa watoto wenzio wa fb ????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.