Kuota unafanya mapenzi hii ni kutokana hupati wasichana,kuchukiwa sababu hauna kitu,washikaji kukudharau hope ni sababu ya unavyojiweka kianzia mavazi na fikra zako kuona wanakudharau. Ushauri wangu
*Fanya ibada
*Kua positive kwa kila mtu
*Pambana kulipa madeni yote na uanze kusave kidogo kidogo...
Kila nafsi itaonja mauti. Na bila shaka mtapewa ujira wenu kamili siku ya kiama. Na aliyewekwa mbali na moto na akaingizwa peponi, basi amefuzu (amefaulu kwelikweli) na maisha ya dunia (hii) sii kitu ila ni starehe idanganyayo watu. Quran 3:185
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.