Recent content by best n

  1. B

    JamiiForums Tanzania Anayehitaji spare ya SAA aina ya SEIKO

    Hii spare bado ipo?
  2. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

    Mlipeni kwanza pesa zake!
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mateso anayonipa jini mahaba

    Duuuh pole sana. Piga sana ibada na muda wote uwe msafi wa roho,mwili na matendo
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mateso anayonipa jini mahaba

    Kuota unafanya mapenzi hii ni kutokana hupati wasichana,kuchukiwa sababu hauna kitu,washikaji kukudharau hope ni sababu ya unavyojiweka kianzia mavazi na fikra zako kuona wanakudharau. Ushauri wangu *Fanya ibada *Kua positive kwa kila mtu *Pambana kulipa madeni yote na uanze kusave kidogo kidogo...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kama Kijana nimeamua rasmi kuikumbatia CHADEMA

    Sasa andazi ukikutana na chai nzito tayari kwisha habari yako.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Magari "used" ya kuepuka

    Aaah ok
  7. B

    JamiiForums Tanzania Magari "used" ya kuepuka

    Ina shida gani mkuu?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu wa kutafsiri matini yangu toka Kiingereza kuja kiswahili

    In Inategemea na kazi yenyewe kama ni matini ya kawaida au ya kiufundi.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Je, kila nafsi itaonja mauti?

    Kila nafsi itaonja mauti. Na bila shaka mtapewa ujira wenu kamili siku ya kiama. Na aliyewekwa mbali na moto na akaingizwa peponi, basi amefuzu (amefaulu kwelikweli) na maisha ya dunia (hii) sii kitu ila ni starehe idanganyayo watu. Quran 3:185
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu atakuwa mtu wa aina gani? Mbowe alimpambania akiwa hoi, Samia akaenda kumuona Nairobi, leo kawaandalia hotuba za kuwatukana

    Kwani walifanya hayo kama hongo,ili hata kama watakosea asiwaseme?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu kwa mara nyingine tena

    Kumbe ili ccm itoke madarakani watu wapambane kufuta walimu na wala sio katiba mpya tena!
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

    Kila timu ni bora kabla ya kukutana na yanga.lkicheza na yanga tuu,tayari itaonekana ya kawaida tuu!
  13. B

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

    Hua tunasagiwa sana kunguni na (haters) wanaotujua ili wawaaminishe wale(haters) wasiotujua!
Back
Top Bottom