Wanaosemekana kutekwa ni sababu za mapenz
Wanaosemekana kutekwa sababu ni .mapenzi na madeni akina nani walitekwa na sababu zikawa hizi?
Mwanzo tuliambiwa waliondamana ni raia wa nje je kutoka nchi gani na walikamatwa wangapi?
Habari Nina maswali kwa tume ambayo ningependa kuyafahamu vizuri ili niweze kuelewa.
1.Tume imesema kulikua na mafunzo je nani alikua akiendesha mafunzo hayo ? Je mafunzo yalikua na silaha na ni Silaha aina gani na ngapi zilikamatwa?siku ya tukio.
2.Watu 518 walipoteza Maisha ,hawa watu...
Utawala dhalimu wa damu, mmeua maelfu ya watu kujitangaza bila ridhaa ya umma..
Mmeteka na Mnateka watu ili kuwajaza watu hofu..
Mnawategea wengine sumu ili kuwaua na kumaliza kila anaewakosoa..
Ushirika wa kidhalimu huwa haudumu, hakuna mwenye unafuu miongoni mwenu…
Wote mmekalia viti vya...
Unatafuta msaada bora wa masomo kwa mtoto wako au mwanafunzi? Karibu Elite Home Tuition – huduma ya kipekee ya kufundisha nyumbani kwa ubora wa juu!
✨ Tunatoa huduma kwa:
Watoto wadogo (KG1) hadi Form Six
Mitaala yote ya shule
Lugha za kigeni (English, French, Arabic n.k.)
Uimarishaji wa...
Yuda wa Biblia alimsaliti Bwana Yesu. Siamini kama mleta hoja anamaanisha msalitiwa katika hoja yake ni sawa na Bwana Yesu!?!? Ipo siku tusiyoijua, “Yesu” huyu aliyefumbwa katika hoja hii, atafananishwa na “Mtume” asiyelinganishwa. Hapatatosha. Mleta hoja hajachagua vizuri maneno yake na mifano...
Kwa miaka mingi, jamii imekuwa ikitazama kufika kilele (orgasm) kama hatua ya mwisho na ushahidi wa mafanikio katika tendo la ndoa. Katika filamu, vitabu na hata mazungumzo ya kawaida, kilele huwasilishwa kana kwamba ndicho kipimo cha kuridhika kingono. Lakini je, kwa kweli kufika kilele ndilo...
Msanii wa rap Bongo, Scorpion (Tgun Tozzy) ameeleza malalamiko yake akidai kuwa Chief Godlove amekimbia na chaneli yake ya YouTube huku akikataa kumpa mkataba wa lebo kama walivyokubaliana!.
"Barua ya wazi kwa tajiri Chief Godlove. Nimeamua kutumia njia hii kukufikishia ujumbe huu kwani...
Na kwa ujumla serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha miaka mitano, katika miaka mitano, imeingia mikataba ya rasilimali 43 ya rasilimali, na mikataba ya ubia 74 yote kwa siri. Hakuna mkataba ulioletwa kwa wananchi.
Na mikataba hiyo mingi ni mikataba ya rasilimali, uhakika na usalama wa...
Wananchi wa kaya 67 katika kitongoji cha Bago, Kata ya Kigombe, Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, wamelazimika kulala nje baada ya nyumba zao kubomolewa na Kampuni ya Amboni Plantation katika operesheni iliyofanyika mei 22 mwaka huu ambapo wamemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na...
Salama?
Naomba wataalamu mnijuze hivi kweli Tanzania tuna economic plan?
Roboti Yunesi aliyetengenezwa na kupelekwa bungeni siku ya kuwasilisha bajeti ya sayansi na teknolojia kipindi cha mh Nape uko wapi? Alitumia sh ngapi? Zilitoka wapi?nini mwendelezo wa hiyo project?
Drogba na mwezie...
"Watu huwa wanadhani uzalendo ni kuitetea serikali iliyoko madarakani. Uzalendo ni kulitetea taifa kwa sababu serikali zinaingia na kutoka, lakini nchi iko pale pale." - Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo
Katika jamii nyingi za leo, swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara ni kama viongozi wanaochaguliwa au kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali wanaingia kwa sababu ya uwezo wao halisi au kwa sababu ya kufahamiana na watu wenye nguvu. Hoja hii imeibua mijadala mikubwa hasa pale wananchi...
"Chokochoko ya nini sahivi tunaliponya taifa acheni maneno ya kukatisha tamaa yaliyopita yamepita tutafute amani swala la Polisi kuua ni kawaida kikatiba we sahivi mrushie polisi jiwe uone kama hatakushambulia maana katiba yetu ndo inavyosema"
🗣️Thabit Kombo akiongea bungeni kuhusu mauaji ya...
Wakubwa kumekucha!
Siku hizi bana wanawake sijui ndiowashakua sugu ama vipi ! Ni mara Chache kukutana na zile sauti zetu pendwa na miguno ikisindikizwa na sauti za mahaba.
Au ndo kuwaza upatu? Vicoba na Kausha damu ,Maana kuna mda unaweza ukahisi mtu amekufa ukimzaba kofi ndio anashutuka ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.