Recent content by Best home tutor

  1. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Naomba ambaye anaweza kuwa karibu na Tume ya uchunguzi wa machafuko ya october 29 siku ya uchaguzi anisaidie kuuliza haya maswali

    Wanaosemekana kutekwa ni sababu za mapenz Wanaosemekana kutekwa sababu ni .mapenzi na madeni akina nani walitekwa na sababu zikawa hizi? Mwanzo tuliambiwa waliondamana ni raia wa nje je kutoka nchi gani na walikamatwa wangapi?
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Naomba ambaye anaweza kuwa karibu na Tume ya uchunguzi wa machafuko ya october 29 siku ya uchaguzi anisaidie kuuliza haya maswali

    Habari Nina maswali kwa tume ambayo ningependa kuyafahamu vizuri ili niweze kuelewa. 1.Tume imesema kulikua na mafunzo je nani alikua akiendesha mafunzo hayo ? Je mafunzo yalikua na silaha na ni Silaha aina gani na ngapi zilikamatwa?siku ya tukio. 2.Watu 518 walipoteza Maisha ,hawa watu...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Kile kisiwa cha amani nani kakiyeyusha? Tanzania ya ndoto yangu sio hii

    Utawala dhalimu wa damu, mmeua maelfu ya watu kujitangaza bila ridhaa ya umma.. Mmeteka na Mnateka watu ili kuwajaza watu hofu.. Mnawategea wengine sumu ili kuwaua na kumaliza kila anaewakosoa.. Ushirika wa kidhalimu huwa haudumu, hakuna mwenye unafuu miongoni mwenu… Wote mmekalia viti vya...
  4. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Elite home tuition – likizo na muendelezo wa masomo

    Unatafuta msaada bora wa masomo kwa mtoto wako au mwanafunzi? Karibu Elite Home Tuition – huduma ya kipekee ya kufundisha nyumbani kwa ubora wa juu! ✨ Tunatoa huduma kwa: Watoto wadogo (KG1) hadi Form Six Mitaala yote ya shule Lugha za kigeni (English, French, Arabic n.k.) Uimarishaji wa...
  5. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bagonza: Kama Yuda alichokoza; aliyechokozwa asichokozeke. Kama Yuda amechokozwa; asichokozeke

    Yuda wa Biblia alimsaliti Bwana Yesu. Siamini kama mleta hoja anamaanisha msalitiwa katika hoja yake ni sawa na Bwana Yesu!?!? Ipo siku tusiyoijua, “Yesu” huyu aliyefumbwa katika hoja hii, atafananishwa na “Mtume” asiyelinganishwa. Hapatatosha. Mleta hoja hajachagua vizuri maneno yake na mifano...
  6. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania CCM kuna Yuda au ni homa ya urais

    Naombeni majibu Uzi tayri.
  7. Best home tutor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni kwa kiwango gani tunaweza kusema kwamba kufika kilele si lengo kuu katika tendo la ndoa?

    Kwa miaka mingi, jamii imekuwa ikitazama kufika kilele (orgasm) kama hatua ya mwisho na ushahidi wa mafanikio katika tendo la ndoa. Katika filamu, vitabu na hata mazungumzo ya kawaida, kilele huwasilishwa kana kwamba ndicho kipimo cha kuridhika kingono. Lakini je, kwa kweli kufika kilele ndilo...
  8. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Chief Godlove akimbia na akaunti za msanii wake

    Msanii wa rap Bongo, Scorpion (Tgun Tozzy) ameeleza malalamiko yake akidai kuwa Chief Godlove amekimbia na chaneli yake ya YouTube huku akikataa kumpa mkataba wa lebo kama walivyokubaliana!. "Barua ya wazi kwa tajiri Chief Godlove. Nimeamua kutumia njia hii kukufikishia ujumbe huu kwani...
  9. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Katiba inataka mikataba yote ya rasilimali iwekwe wazi lakini hawafanyi hivyo

    Na kwa ujumla serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha miaka mitano, katika miaka mitano, imeingia mikataba ya rasilimali 43 ya rasilimali, na mikataba ya ubia 74 yote kwa siri. Hakuna mkataba ulioletwa kwa wananchi. Na mikataba hiyo mingi ni mikataba ya rasilimali, uhakika na usalama wa...
  10. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Juzi ilikuwa Kibaha, Pwani leo ni Tanga. Shida ni nini? Au u-God Father umezidi?

    Wananchi wa kaya 67 katika kitongoji cha Bago, Kata ya Kigombe, Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga, wamelazimika kulala nje baada ya nyumba zao kubomolewa na Kampuni ya Amboni Plantation katika operesheni iliyofanyika mei 22 mwaka huu ambapo wamemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na...
  11. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Tanzania kuna economic plan?

    Salama? Naomba wataalamu mnijuze hivi kweli Tanzania tuna economic plan? Roboti Yunesi aliyetengenezwa na kupelekwa bungeni siku ya kuwasilisha bajeti ya sayansi na teknolojia kipindi cha mh Nape uko wapi? Alitumia sh ngapi? Zilitoka wapi?nini mwendelezo wa hiyo project? Drogba na mwezie...
  12. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ijue maana ya uzalendo

    "Watu huwa wanadhani uzalendo ni kuitetea serikali iliyoko madarakani. Uzalendo ni kulitetea taifa kwa sababu serikali zinaingia na kutoka, lakini nchi iko pale pale." - Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo
  13. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Siku Hizi Wanaingia kwa Merit au Kufahamiana?

    Katika jamii nyingi za leo, swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara ni kama viongozi wanaochaguliwa au kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali wanaingia kwa sababu ya uwezo wao halisi au kwa sababu ya kufahamiana na watu wenye nguvu. Hoja hii imeibua mijadala mikubwa hasa pale wananchi...
  14. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Haya maneno yamesemwa kweli?au ni uzushi?

    "Chokochoko ya nini sahivi tunaliponya taifa acheni maneno ya kukatisha tamaa yaliyopita yamepita tutafute amani swala la Polisi kuua ni kawaida kikatiba we sahivi mrushie polisi jiwe uone kama hatakushambulia maana katiba yetu ndo inavyosema" 🗣️Thabit Kombo akiongea bungeni kuhusu mauaji ya...
  15. Best home tutor

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Wakubwa kumekucha! Siku hizi bana wanawake sijui ndiowashakua sugu ama vipi ! Ni mara Chache kukutana na zile sauti zetu pendwa na miguno ikisindikizwa na sauti za mahaba. Au ndo kuwaza upatu? Vicoba na Kausha damu ,Maana kuna mda unaweza ukahisi mtu amekufa ukimzaba kofi ndio anashutuka ndio...
Back
Top Bottom