Recent content by Beso

  1. Beso

    RANGI YA ZIADA;MAVAZI YA SIMBA SC!

    Nikiwa mshabiki wa Klabu ya Simba nilikuwa na wazo la kuwepo kwa rangi mbadala katika mavazi na jezi za klabu yetu tofauti na rangi zetu za asili ambazo ni nyekundu(home) na njeupe (away). Rangi mbadala inaweza kutumika kuzipa muonekano tofauti tofauti jezi zetu tofauti na option ya nyeupe na...
  2. Beso

    Majambazi wenye silaha wavamia Bulale Mwanza muda huu

    Kweli mmevamiwa mkuu!naona makosa kibao ktk andiko lako!nadhani upo chini ya meza!poleni kwa mkasa!
  3. Beso

    Yanga, ni klabu bora Tanzania na Africa, mikia mnaisomaje?

    sawa yebo yebo mnatisha Afica!
  4. Beso

    Kwanini umeme haionekani kuwa ni ajenda muhimu kuelekea Uchaguzi?

    Ni sawa mkubwa lkn ningefurahi kama sauti kali zingepazwa majukwaani ili wahusika wapate habari kuwa tunaumia!!bila kusukumwa hawaendihawa!!
  5. Beso

    Kwanini umeme haionekani kuwa ni ajenda muhimu kuelekea Uchaguzi?

    Wakati wananchi tukiwa katika mgao mkali wa umeme, sioni ajenda hii ikipewa umuhimu stahiki katika majukwaa ya kampeni hadi sasa licha ya athari zake kubwa kiuchumi.
  6. Beso

    Mtoto wa miaka miwili ampiga risasi na kumuua baba yake

    Makini Uzembe wa kuitunza silaha umemgharimu!
  7. Beso

    Mgawanyo Rasmi wa Majimbo kwa vyama vinavyounda UKAWA

    kubenea yupi ubungo,mnyika kibamba!
  8. Beso

    Wanachama zaidi ya 300 wa CCM wawatupia kadi viongozi wao Kilindi

    nadhani ni korogwe mjini mkubwa!taarifa ilisomwa pamoja na ya kilindi ikimuonyesha dr.Aisha Kigoda akilalamikia rushwa!
  9. Beso

    Ipe maneno hii picha

    Never giveup!
  10. Beso

    Has Dr. Slaa quit politics?

    I think there is something behind this rumour!until dr slaa come out to say anything before the public!we are restless!dr must comeout!
  11. Beso

    Mashabiki wa SIMBA watashangilia timu gani?

    wake zetu ni nyie tuliowakuna mkono!!!
  12. Beso

    Arusha, Mbeya na Bukoba majimbo fukara zaidi tanzania - REPOA

    tupewe vigezo vinginevo ni ngumu kumeza!!!
  13. Beso

    Dawa ya kupunguza hamu ya kula

    piga ephedrine!!!
Back
Top Bottom