Majambazi wenye silaha wavamia Bulale Mwanza muda huu

johnmashilatu

JF-Expert Member
Sep 16, 2010
718
703
Majambazi wavamia Bulale wakiwa na bunduki muda huu na kupora katika maduka 2 ya M pesa. Bulale ni kata ya Buhongwa Iijini Mwanza.
 
Dakika 15 sasa polisi hawajaonekana. Jumla ya maduka manner yamevamiwa na kuporwa. Wamerusha tisasi kutisha watu. Majambazi walikuwa wanne wakiwa na bunduki moja.
 
Watu wawili wamejeruhiwa mmoja kwa kupigwa nyundo kichwani. Kiadi kinacjoelezwa kuwa ni zaid ya she laki Tisa fedha taslimu zimeporwa na simu kadhaa za mkononi
 
Haya sasa, police eneo hilo huwa wanapita humu? Mleta uzi umevurugwa kweli, mwandiko huo?
 
dah hawa jamaa wakiingia mahali ni funga kaz kwel kweli pole sana kwa wahanga
 
Punguza mihemuko ya kisiasa vijana wenzangu,hapa tunajadili swala nyeti
Narudia tena, polisi wapo dodoma!! Ebo!!
Kuna unyeti gani hapo!! huko mara mwanamke aliyapokonya majambazi SMG!!! Tena bila msaada wa polisi,
Mwanamke mwingine aliyagonga majambazi kwa gari lake baada ya kuporwa, NA NYINYI KUWENI WABUNIFU.
 
Narudia tena, polisi wapo dodoma!! Ebo!!
Kuna unyeti gani hapo!! huko mara mwanamke aliyapokonya majambazi SMG!!! Tena bila msaada wa polisi,
Mwanamke mwingine aliyagonga majambazi kwa gari lake baada ya kuporwa, NA NYINYI KUWENI WABUNIFU.
Teh teh! unagombana kivuli chako?
 
Ndo hivyo wadau. Mniwie radhi kwa namna nilivyofikisha ujumbe hapo awali. Mambo haya hayazoeleki kwani ni kiasi cha takriban mwezi na usher hivi mwenyekiti wa mtaa huu aliuawa kwa risasi! Leo tens.
 
Back
Top Bottom