Recent content by Benylin

  1. Benylin

    Utapeli mkubwa unaofanywa na BOLT iliyokuwa Taxify zamani

    Wadau hawa jamaa walijulikana kwa jina la Taxify, na walikua wakitoa huduma za usafiri kama ilivo Uber. jamaa wakabadili jina na saiv wanajiita "Bolt" wanafanya utapeli mkubwa kwenye trip zao, wakisingizia tatizo la GPS. Mfano kutoka Mwananchi kwenda Kairuki , ni umbali wa Km 11,ila chek hii...
  2. Benylin

    Mke anatafutwa huku

    Mimi ni kijana wa kiume, umri wangu miaka 27. Naish Dar napia nimeajiliwa nimeajiliwa katika kampuni moja wapo kubwa hapa nchini. Natafuta mke mwenye umri wa miaka kati ya 20 hadi 25, awe ,weupe , elimu yake kidato cha nne na kuendelea. Na awe mkristo. Kwa mwenye hitaji kama langu, karibu PM...
  3. Benylin

    Mpenzi wangu amenisaliti na mzazi mwenzake! Nina wasiwasi ataendelea kunisaliti naye

    Boss huyo hafai, wanawake waliozalishwa hua wanajielewa, na huwa wanapata heshima sana wanapokua wameolewa na mtu mwingine akiwa na mtoto tayar. So huyo hamna sababu ya kuendelea kua naye, kama amekusaliti, mruhusu akaendelee na baba watoto wake tu.... Tafuta mwingine
  4. Benylin

    Nimefuma SMS hii kwenye simu ndogo ya mke wangu

    Mngetengeneza Bongo movie, ikawaingizia pesa... Maudhui yanajitosheleza mtauza copy za kutosha. nadhan Mia Tisa itapendeza kuwasupport
  5. Benylin

    Natafuta mchumba wa kike

    Habari za leo wana jukwaa, Kwa mara ya kwanza, najitokeza hapa nikiwa na nia ya kutafuta mwanamke ambaye tutakua naye katika mahusiano, na hatimaye kuwa mme na mke. Mim ninaish Dar, umri wangu miaka 26, ni muajiliwa katika taasisi moja wapo hapa Dar. Sifa za mwanamke ninaye mtafuta, awe na...
  6. Benylin

    Natafuta Mchumba wa kike, miaka 20 hadi 24

    Kila la kheri mkuu
  7. Benylin

    Probability ya kuolewa na kuoa hii hapa

    Duh, umetisha kwa huu utafiti aisee
  8. Benylin

    Natafuta rafiki wa kike

    Nafuta rafiki wa kike, umri miaka 20 hadi 24, baadae aje kuwa mchumba na hatimae kuwa mke. Awe anaishi Daresalaam, na mkristo. Mim nina umri wa miaka 26, na ninafanya kazi. nipo Dar pia. Karibu PM kwa binti aliye serious tuyajenge.
  9. Benylin

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nice to be hear, thanks Ontario Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Benylin

    Tanzania’s central bank issues fresh licensing measures for Forex dealers

    Uzi mzuri huu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Benylin

    Forex Tutorials for Beginners: Pitia hapa kujifunza

    Asante kwa uzi huu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Benylin

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Duh gud sana hii Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom