Recent content by benybeny

  1. benybeny

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Mwongezee na dozi ya kituu saumu punje mbili kila siku mda wa kulala
  2. benybeny

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

  3. benybeny

    Je, ni kweli kuwa kila zahanati nchini ina CT scan kama Wassira anavyosema?

    Watumishi wa kawaida kabisa hawatoshi vifaa tiba havitoshi afu huyu mzee anakuja kudanganya umma hadharani ivi . Huyu angehojiwa na wale waliomuhoji dogo paten angeisoma namba
  4. benybeny

    Ukikamilisha shughuli yako usisahau kushukuru

    Habari zenu wakuu Sii vibaya tukikumbushana maana ni ustaarabu wa kawaida kabisa. Unakuta mtu ana shughuri yake maybe send-off au ndoa, na anahitaji michango kutoka kwa wadau ndugu jamaa na marafiki na huyo mtu unaehitaji mchango wake hujawasaliana nae zaidi ya mwaka, siku unayomtafuta unampa...
  5. benybeny

    Mjukuu wa Bakhressa akiwa na kinywaji cha Red Bull mkononi na sio Azam Energy

    Nadhani ungekua vby km angetumia kinywaji cha wapinzani wa kibiashara
  6. benybeny

    Je ni kweli kahawa inaongeza hatari kwa mwanaume kupata tatizo la tezi dume kuvimba

    Habari wakuu Ivi ni kweli kahawa hua inaongeza hatari kwa mwanaume kupata tatizo la tezi dume kuvimba . Hii ni kutokana na experience niliyoiona kwa sehemu ambazo zinazalisha zao la kahawa wanaume wengi ambao wana umri wa miaka zaidi ya 45 kua na tazizo hili. Kwenu wakuu
  7. benybeny

    Mnada wa magari yaliyotumika nchini

    Idea nzuri sana
  8. benybeny

    Hivi ni lazima ukichomwa sindano ya T.T begani itoe kovu?

    Kwasasaivi hata kama kovu halijatokea hairudiwi wanasema chanjo tayari ipo mwilini
  9. benybeny

    Je, ni kwanini haiwezekani kuyachoma moto maji?

    Maji hua yanaungua kwa mfano umechemsha mafuta haya ya kupikia kwa mda mrefu then ukitia maji pale kuna mlipuko utatokea ndo kuungua kwake huko🤯
Back
Top Bottom