Recent content by Benson Emasu

  1. Benson Emasu

    Rais wetu amelewa madaraka, amesahau kuwa yeye ni Rais wa Watanzania

    Unajua wakat mwingine silence can be a person's loudest cry hajui ni mioyo mingap ya watanzania inaumia kwa kauli zake zisizokuwa na busara kuna watu wamefukuzwa kaz kwa vyet hewa lakin yy anamkumbatia huyu jamaa na hana hata hofu kwa Mungu anaedai kumtumikia kwa kuwaumiza walomwajil hakika ipo...
  2. Benson Emasu

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Clouds wamekaa kiumbea umbea acha yawatokee mapuani
  3. Benson Emasu

    Lawrence Masha apendekeza Mwakyembe afukuzwe Uanachama TLS

    Magu arud nyuma ajiulize nn lengo la kuwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa akishalijua cdhan yanayotokea sasa kama yatakuwepo
  4. Benson Emasu

    Kigoma: Mkuu wa Wilaya ya Kasulu avuliwa ukuu wa wilaya na kurudishwa kazi ya awali jeshini

    Nashindwa kuelewa kama askari jesh wanaruhusiwa kuwa washabik wa vyama vya siasa
  5. Benson Emasu

    Wakuu hivi huwa mnadili vipi na watu wa aina hii? Please naomba mawazo yenu

    Mkuu wachunguze ujue kama ni vichaa kwel au la! Usije ukakuta ni wazima lakin wanapretend ili kupata chakula kirahis
  6. Benson Emasu

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    Tatizo watu wanatafuta kiki ndan ya serikal hii
  7. Benson Emasu

    Bashe: TCU na wizara ya elimu inachokifanya ni zaidi ya madawa ya kulevya

    Yawezekana kuna hii ndio fek manake hata wanafunz inaowadahil wanatokana na ufek wao
  8. Benson Emasu

    Hivi kwanini Wema anapendwa?

    Yawezekana ni kwasababu ya mfododo alokuwa nao
  9. Benson Emasu

    Nimepata mume asanteni

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mapenz bana
  10. Benson Emasu

    Ni nani anayestahili kutajwa kwa tuhuma za dawa za kulevya?

    Hao ni chambo tu wanaotafutwa na md si mrefu samak atawala na hatavuliwa ko sishangai anavyofanya makonda coz mbio za sakafu huishia ukingon
  11. Benson Emasu

    Baada ya kumdhibiti Makonda, nisisikie mtu akilalamika juu ya madawa ya kulevya!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Benson Emasu

    Mwanaume kukojoa maji badala ya spam /mbegu shida ni nini?

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] labda kama ana psychological problems yawezekana uume ukashindwa kusimama au kama ana infections katika via vyake vya uzaz
  13. Benson Emasu

    Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

    Fursa zingine ni very risk
  14. Benson Emasu

    Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

    Utampata tu omba Mungu
Back
Top Bottom