Jamaani nioneeni huruma kwani ndio mara yangu ya kwanza kuingia hii store. Kama nimekosea niambieni nitajitahidi vizuri,kwani mtoto kabla hajatembea hujifunza kutambaa.
Vipi wadau, kuna lijizee mmoja ambaye alijaribu kuhifadhi chakula tumboni mwake kwa siku nne ili asile kwa muda huo! Lakini ikashindikana kwani alikula hadi akakosa nafasi ya kupumua! Ika bidi kupelekwa hospitalini ili kufanyiwa oparesheni ya tumbo ili atolewe chakula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.